Nini kifanyike ili kuepuka "kuchapiwa"?

Nini kifanyike ili kuepuka "kuchapiwa"?

*Wenye pesa wanachapiwa.
*Maskini wanachapiwa.
*Wenye nguvu za kiume wanachapiwa.


Sas ili kuepuka kuchapiwa nini kifanyike? Ili kuepuka kuchapiwa wanume oeni mabikra.

lkn ukijikita kutafuta hela ukapuuzia kutafuta bikra itakula kwako na utaabika mitandaoni kama akina fulani wenye hela lkn washachapiwa.

Wanaume tafuteni bikra
Hao wanaochapwa si ni wao walikuwa mabikra , ushaur mbovu kuwah kutokea
 
Kuwafanya wanawake kipaumbele cha maisha yenu kitawaumiza sana nyie mafala

Mwanamke ishi nae kama paka tu

We akikisha tu amekula ameshiba

Ataenda kuzulula jion atarudi

Na Kuna kipindi paka anatoroka wiki akirudi ana mimba na humfukuzi

Fanya mambo yako mwanamke sio wa kuchungwa
We jamaa unaakili sana,..yani Mwanamke sio wakumfaatilia hata kidogo akiamua kuwekwa atawekwa tu utake usitake
 
*Wenye pesa wanachapiwa.
*Maskini wanachapiwa.
*Wenye nguvu za kiume wanachapiwa.


Sas ili kuepuka kuchapiwa nini kifanyike? Ili kuepuka kuchapiwa wanume oeni mabikra.

lkn ukijikita kutafuta hela ukapuuzia kutafuta bikra itakula kwako na utaabika mitandaoni kama akina fulani wenye hela lkn washachapiwa.

Wanaume tafuteni bikra
Usianzishe uhusiano tu huo ndio uhakika kitochapiwa
 
Fanya mwanamke kama mboni ya jicho lako. Mfiche kama kitu cha thamani sana.. ( ishi kama kiindi vile ) 😅😅😅 ala sie wenza wetu tuna wa expose sana, wanaonekana sana na kila aina ya watu kuanzia makazini kwenye vikoba.. sio kwamba wanapenda ku cheat pressure inakuwa kubwa sana hadi wanaachia mzigo

Mume ni bodyguard wa mke na mke ni hivyo hivyo.. unaweza ignore hii.. ila jiandae kisaikolojia.. mwanamke bila protection.. anakuwa kama kwenye war zone peke yake.. pressure ikiwa kubwa anachanua tu

Na hiyo ndio kanuni ya kuishi na mke, toka enzi.. sasa sie usasa ndio unatuponza.. ndio kuliana kama kawa mke unakuta anajulika kila mahala unafikiri hakuna wakali wa kazi kuliko ulie oa 😅😅😅.. mke kama hataki kufata hiyo kanuni jiandae tu ..

Kucheat kupo, ila kwasababu hakuna wizi mtaani kwako, usiweke mlango 😅😅 wakija wanaingia tu

Na haya mambo ya kusaidia kimaisha na wake ndio mlango wenyewe huo, mwanamke unatakiwa umuoe na akae ndani kama malkia.. sio na yeye akakita na Procure officer ma MD utalia tu.. kaangalie wahindi wanavyo ishi na wake zao.. kwanza kumjua mke ni kipengele na alipo mume mke yupo 😅😅
Ukweli mchungu sana huu mkuu.
 
*Wenye pesa wanachapiwa.
*Maskini wanachapiwa.
*Wenye nguvu za kiume wanachapiwa.

Sasa ili kuepuka kuchapiwa nini kifanyike? Ili kuepuka kuchapiwa wanume oeni mabikra.

Lakini ukijikita kutafuta hela ukapuuzia kutafuta bikra itakula kwako na utaabika mitandaoni kama akina fulani wenye hela lkn washachapiwa.

Wanaume tafuteni bikra
Ni kugeuka mchapaji tu kama unaogopa kuchapiwa.
 
Itune mind YAKO iamini Ili usiende jela kisa mapenzi. Watu zaidi ya elf moja wote wakose?
Mwanamke wa kawaida tu kwa siku utongozwa na si chini ya wanaume watatu kwa siku.
 
Kuwafanya wanawake kipaumbele cha maisha yenu kitawaumiza sana nyie mafala

Mwanamke ishi nae kama paka tu

We akikisha tu amekula ameshiba

Ataenda kuzulula jion atarudi

Na Kuna kipindi paka anatoroka wiki akirudi ana mimba na humfukuzi

Fanya mambo yako mwanamke sio wa kuchungwa
Umetisha mkuu
 
Back
Top Bottom