Nini kifanyike ili kuish kwa upendo na milele kati ya mume & mke

Kafuta

Senior Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
119
Reaction score
29
Kumekua na matatizo mengi sana hiv sasa.ktk dunia hii yetu hv sasa.nazungumzia kwenye nyanza ya mahusiano ya mapenz na maisha kwa jumla.ndoa zinavurugika,mume kamwacha mke na mke kamwacha mume..kwenye urafiki yaan bf na gf huko ndio usiseme,kama kulala na kuamka..yaan imekua siyo issue kuachana..na kuanzisha tena.yapo meng ukiuliza..lakin yale ya msingi hasa ni nn?ni kwamba tabia zetu kwa sasa ni chafu?au ni fashion na kuiga tamaduni za watu wa magharib na kuacha zetu.?je kwa mwendo huu tutafika salama?au ndo vile tena tuache liende? dini zinanafasi ya kuweka mambo sawa?.kama ilivyo makusudi ya mungu.?hayo na mengne mengi ni maswali yanayonitatiza na ni maswali yangu kwenu..naomba kuwasilisha.
 
Tafuta couple ambayo itakufaa. Usiangalie sifa za nje wakati wa kuchagua couple. Ni dhahiri kuwa interest zenu zisipo match hamfiki mbali. Na ukiwa naye usiweke biashara kama kawaida uone sasa basi, shetani hakawii kujihudhurisha kwenu kama Mungu hajajihudhurisha. Salini sana, mtafika mbali.
 
Ee Bwana, tunakuomba utujalie upendo ukiimarishwa na neema ya sakramenti ya ndoa, tuweze kushinda udhaifu na majaribu yote yanayozikumba familia zetu wakati mwingine, tufundishe kuheshimiana na kuchukuliana kwa upendo na amani yako ibaki mioyoni mwetu
 
lack of values in our communities kuanzia nyumbani...media ndio inafundisha watoto wetu..what do you expect in such a society? Will they ever value and respect relationships?
 
Andika hili kwenye note buku yako. soma biblia kwenye agano la kale katika kitabu cha hekima za mfalme Suleiman, ila nimesahau ni aya ya ngapi, inasema hivi. "PESA NDIO SULUHISHO LA YOTE" mwisho wa kunukuu. Jitahidi katika maisha yako uwe na kauchumi kidogo.
 
Tuishi tukimjua mungu ili kila tunalofanya liwe limebarikiwa tusiwe na haraka tufanye maamuzi kwa kumuomba mungu ili atupe baraka za kuwapata wenzi bora na tukijaaliwa kuwa na watoto tuwalee kwa upendo na kumjua mungu ili wanapokuwa nao wakubwa wakaanzishe familia bora na zenye upendo
 
1. Uaminifu
2. Upendo wa dhati
3. Kumtanguliza mwenyezi mungu kwa kila jambo
4. Kuheshimiana
Wapendwa nina imani tukifuata hayo mambo tutaishi kwa upendo
 
Kwahiyo ni mwendo wakuwa na pochi lililojaa mahela
 
Kabla ya uchumba na ndoa....muombe mwenyezi mungu akujalie uishi maisha ya upendo,amani,furaha na ya kawaida yasiwe ya juu sana wala ya chini sana hadi ukakosa hata ka spacio kakwenda kanisani na mkeo.
 
mambo yakisha enda vibaya chumbani hata sebuleni hapakaliki.Ndoa nyingi zinapata utata na misukosuko mikubwa swala la chumbani linapokuwa halitiliwi maanani,Pale ambapo kila mtu yupo buzz na mambo yake.Uvivu na kutokumjali haja za mwenzi wako.Ila mmoja atatafuta mlango wa kutokea.
 
pride (samahani sijui niisemeje kwa kiswahili ili kuipata maana yake halisi) huchangia sana kuvunja mahusiano. ukiweza kui-control au kugundua mwenzako anakuwa influenced na pride, utakuwa umeshinda 75% ya njia ya kuvunja mahusiano, kwa mawazo yangu
 


Kama kweli mnapendana then the best answer is compromise pande zote mbili....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…