Piga kazi,Inaelezwa kuwa mahali pa kazi Chuki imechukua nafasi kubwa kuliko uwajibikaji wenyewe.
Hali hiyo imeleta msongo wa mawazo kwa baadhi ya watumishi.
Pili inadunisha ufanisi wa kazi.
Tatu watu wanashindwa kufurahia kazi zao kutokana na watu wachache tu wabinafsi.
Nne watu wengine wananyimwa fursa kisa tu chuki.
Punguzeni Chuki, maendeleo yapatikane.
Ajira mpya wapewe semina elekezi. Ni namna gani ya kuhimili presha na chuki mahali pa kazi. Penye riziki ndiyo kuna maneno.Inaelezwa kuwa mahali pa kazi Chuki imechukua nafasi kubwa kuliko uwajibikaji wenyewe.
Hali hiyo imeleta msongo wa mawazo kwa baadhi ya watumishi.
Pili inadunisha ufanisi wa kazi.
Tatu watu wanashindwa kufurahia kazi zao kutokana na watu wachache tu wabinafsi.
Nne watu wengine wananyimwa fursa kisa tu chuki.
Punguzeni Chuki, maendeleo yapatikane.
Huko kila mtu hana rahaAjira mpya wapewe semina elekezi. Ni namna gani ya kuhimili presha na chuki mahali pa kazi. Penye riziki ndiyo kuna maneno.
Bahati mbaya si wote wana uvumilivu na moyo wa kupuuzia.
Kuna watu wanaumia sana kwa maneno ya watu. Uwezo wao wa kuhimili ni mdogo. Zipo ofisi zina maneno na umbea. Haswa hizi LG.
Watu wawajibike. Kila mmoja afanye kilichompeleka. Majungu yasipewe nafasi. Uchawa usiwe kichocheo cha kupata safari na kupandishwa vyeo.
Pole sana mkuuInaelezwa kuwa mahali pa kazi Chuki imechukua nafasi kubwa kuliko uwajibikaji wenyewe.
Hali hiyo imeleta msongo wa mawazo kwa baadhi ya watumishi.
Pili inadunisha ufanisi wa kazi.
Tatu watu wanashindwa kufurahia kazi zao kutokana na watu wachache tu wabinafsi.
Nne watu wengine wananyimwa fursa kisa tu chuki.
Punguzeni Chuki, maendeleo yapatikane.
Safi sana Dr. Shomile, Bk unaiwakilisha vizuri jukwaani.Be positive
Be positive
Be positive
Do the best
Earn ur income/salary
Don't out-shine and don't ou-tsmart ur boss
r done ur job and GO HOME
Watu/ Wafanyakazi wenye elimu/akili ndogo na iliyo duni, silaha yao pekee mahali pa kazi kuhusu 'tenure' ya ajira zao, kupandishwa vyeo au kupata upendeleo usio wa haki hutegemea zaidi kwenye kujipendekeza kwa maboss, kupeleka majungu na habari za umbea kwa boss, au hata kuanzisha mahusiano na boss ili aweze kuwa karibu naye.Inatisha sana
KUNA UDINI NA UKABILA HUSUSAN UISLAMU NI TATIZO MTAMBUKAA.Inaelezwa kuwa mahali pa kazi Chuki imechukua nafasi kubwa kuliko uwajibikaji wenyewe.
Hali hiyo imeleta msongo wa mawazo kwa baadhi ya watumishi.
Pili inadunisha ufanisi wa kazi.
Tatu watu wanashindwa kufurahia kazi zao kutokana na watu wachache tu wabinafsi.
Nne watu wengine wananyimwa fursa kisa tu chuki.
Punguzeni Chuki, maendeleo yapatikane.