Nini kifanyike ili kuondoa au kupunguza Chuki binafsi Mahali pa Kazi?

Nini kifanyike ili kuondoa au kupunguza Chuki binafsi Mahali pa Kazi?

Kuna dogo mmoja kwenye shirika flan hiv muda huu ni meneje mkuu (GM), alipokujaga tu akaanza kuleta maneno maneno. Anataka mpaka bosi wake ambae ni GM wa kipindi hiko afate standard zake yeye. Anamchomeshea kwa president kuwq hakuna kitu..

Wiki kadhaa mbele nilivyomuelewa nikawa namkataa. Few months nikaacha kazi ile ofisi, na haikupita miez miwili GM nae kaacha. Yule dogo ana CV ya kupita viofis vingi vingi na kukaa kwa kuda mfupi sana. Kumbe anatimuliwaga sababu ya ugombanishi

Kuja ofisi ile alikaa wiki tu chuki zikawq nganganga mule ndani. Kuna watu tukapambanuliwa kama wala mishahara na posho za bure. Hatufanyi kaz 😁
 
Inaelezwa kuwa mahali pa kazi Chuki imechukua nafasi kubwa kuliko uwajibikaji wenyewe.

Hali hiyo imeleta msongo wa mawazo kwa baadhi ya watumishi.

Pili inadunisha ufanisi wa kazi.

Tatu watu wanashindwa kufurahia kazi zao kutokana na watu wachache tu wabinafsi.

Nne watu wengine wananyimwa fursa kisa tu chuki.

Punguzeni Chuki, maendeleo yapatikane.
Chanzo halisi cha chuki kinatoka kwa wamiliki halali wa visirani vijichawi vile loo najuuta kuvifahamu.
 
Mkiingia makazini msijisahau....epuka ku fungua file lako
Mara najenga..
Mara nataka kununua gari
Mara ooh nafny hiki
Shit...hapo ndo chuki huanzia
Karibu kua na mipaka kazini utaona kazi nzuri!
 
Mi naona chakufanyika hapo hao binadamu watolewe ziwekwe robot, problem solved.
 
Back
Top Bottom