Nini kifanyike ili tren ya SGR isife!??

Nini kifanyike ili tren ya SGR isife!??

Trinity

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
1,828
Reaction score
3,508
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani udumu miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kale walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea mashirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza laki 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu na anahofu ya Mungu, mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
 
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren inashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani uwepo miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kali walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea madhirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza mil 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
Hapa hamna suala la kutabili, kwa 80% yoyote anae jua utendaji wa serekali yetu katika mradi mikubwa ya Ummah anajua matokeo tu, SGR ni kwa ajiri ya uchaguzi 2025, baada ya hapo kuendelea bila kusuasua utakua muujiza wa karne........shirika la ATCL lilinunuliwa ndege mpya 11 sasa uliza ngapi zinafanya kazi? Na bei shilling ngapi Mwz to Dar.
 
japokuwa kuna watu siwapendi kabisa serikalini ila katika sala zangu nauombea sana huu mradi usifeli.

si haba tumeanza na mjusi wa 120km/hr max, who knows, labda 36yrs ijayo tunaweza ku_update na tukafika angalau 180km/hr.

kweli ya Allah ninasali sana huu mradi usifeli, wenye mabus chonde chonde tuachieni mradi huu uwe endelevu.
 
Andiko bora kwangu kuhusu SGR.

Kama ikipewa msimamizi ambaye yeye jukumu lake ni kusimamia kilakitu na janja janja zikaondolewa naona maisha ya hii SGR.

Kubwa ni msimamizi na mwendeshaji yeye afanye kilakitu mwenyewe ila fungu alete serikali kuu na yeye ajilipe chake tu

Pia huu mradi ubebe mizigo ndio faida itapatikana ya kutosha, ila kwa kubeba abiria tuu sioni afya kabisa.
 
Wadhibiti hujuma kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na mizigo
 
Andiko bora kwangu kuhusu SGR.

Kama ikipewa msimamizi ambaye yeye jukumu lake ni kusimamia kilakitu na janja janja zikaondolewa naona maisha ya hii SGR.

Kubwa ni msimamizi na mwendeshaji yeye afanye kilakitu mwenyewe ila fungu alete serikali kuu na yeye ajilipe chake tu
Hapo tutakua tume win.! Vinginevyo walio tukopesha watakuja wabebe mbuga zetu kama fidia ya deni tuliloshindwa kulipa.!
 
Andiko bora kwangu kuhusu SGR.

Kama ikipewa msimamizi ambaye yeye jukumu lake ni kusimamia kilakitu na janja janja zikaondolewa naona maisha ya hii SGR.

Kubwa ni msimamizi na mwendeshaji yeye afanye kilakitu mwenyewe ila fungu alete serikali kuu na yeye ajilipe chake tu
Kuunusuru hiyo SGR ni ipewe muekazaji kabla haija anza kusuasua otherwise ni suala la mda tu...hstuwezi hatuwezi
 
Kuunusuru hiyo SGR ni ipewe muekazaji kabla haija anza kusuasua otherwise ni suala la mda tu...hstuwezi hatuwezi
Hivi Ina maana sisi watu wa chini ndo tunaona mbali kiasi hiki kuliko wasaidizi wa rais, mawaziri, usalama, watu wa uchumi , ma professa n.k Kwa nini hawamshauri rais???

Very sad Kwa taifa langu Tanzania.!
 
Hivi Ina maana sisi watu wa chini ndo tunaona mbali kiasi hiki kuliko wasaidizi wa rais, mawaziri, usalama, watu wa uchumi , ma professa n.k Kwa nini hawamshauri rais???

Very sad Kwa taifa langu Tanzania.!
Wewe hujui kwamba Raisi anahitaji kura za wananchi, kwahiyo 90% ni kufurahisha wananchi hata kama anajua halita dumu ili mradi hizi mbumbumbu zi mpe kura.
 
Wewe hujui kwamba Raisi anahitaji kura za wananchi, kwahiyo 90% ni kufurahisha wananchi hata kama anajua alita dumu ili mradi hizi mbumbumbu wampe kura.
Kwani akipewa msimamizi anaondoa stesheni au safari zinakoma!??

Mradi utaonekana na uta prove namna unasaidia wananchi, wa kumpa kura watampa tuu!!
Hizi siasa sasa.!
 
Kwani akipewa msimamizi anaondoa stesheni au safari zinakoma!??

Mradi utaonekana na uta prove namna unasaidia wananchi, wa kumpa kura watampa tuu!!
Hizi siasa sasa.!
Huwezi kuelewa kwamba nchi ya Tanzania imejengwa kwa misingi ya Uzalendo........mwananchi anapenda kila mradi uwe chini ya serikali yao.
 
Wewe hujui kwamba Raisi anahitaji kura za wananchi, kwahiyo 90% ni kufurahisha wananchi hata kama anajua alita dumu ili mradi hizi mbumbumbu wampe kura.
Lakini ni woga wa maisha tu, kwan akipewa msimamizi mradi si utaendelea kuwepo na kusaidia sisi wananchi.
Tutashindwaje kumpa kura!!??
 
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani udumu miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kale walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea mashirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza laki 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu na anahofu ya Mungu, mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
Umenena vyema, naamini wapo humu watafanyia kazi.
 
Back
Top Bottom