Nini kifanyike ili tren ya SGR isife!??

Nini kifanyike ili tren ya SGR isife!??

Hivi hakuna watanzania wanaoweza kusomeshwa na serikali wakafanya hiyo kazi badala ya kila kitu kufanywa na mwekezaji? Anachokifanya huyo mwekezaji kifanywe na watendaji wa serikali, kama waliopo wana mapungufu ya kitaaluma basi wapelekwe wakasome
Issue si watendaji issue ni mifumo.
 
Kwanza ufanyike upigaji, ili kutengeneza sababu za ubinafsishaji.
 
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani udumu miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kale walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea mashirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza laki 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu na anahofu ya Mungu, mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
kama ilivyokua kwa mwendokasi basi SGR pia jambo ni lile lile- NAULI NI NDOGO SANA
 
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani udumu miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kale walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea mashirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza laki 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu na anahofu ya Mungu, mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
Umeme na SGR ni uti wa mgongo kwa walalahoi,mabasi yameua sana maskini Ile basi ya Ally's iliyogonga treni iliua mwanetu aliekuwa Bugando doctorate na wala hata mtoto hakuwanae,nikiwa sehemu nikiiona Ile bus inatia uchungu sana.hebu tumikieni miradi hii miwili idumu,Barabara ni nyembamba,na hazina double lane.
 
Kama SGR inaenda tupu huku tickets zikiwa zimeisha ni red flags kwambwa CARTEL wapo kazini.
 
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani udumu miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kale walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea mashirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza laki 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu na anahofu ya Mungu, mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
Kati ya mwaka 1994 na 1997 serikali ya China ilinunua treni chache sana kutoka Ufaransa, Ujerumani na Japan. Ikazifanyia reverse engineering na baada ya miaka 10 ikawa inategeneza treni zake yenyewe. Leo hii China ndiyo inayoongoza kwa wingi wa treni za mwendo kasi duniani. Treni zote za China zinaendeshwa na mashirika ya kiserikali, hakuna kinachoitwa mwekezaji labda subcontractors wa hayo mashirika. Hivi watanzania sisi tumerogwa wapi kudhani kuwa matatizo yetu yatatuliwa na wawekezaji? Neno wawekezaji nimelisikia sasa mwaka wa 29 tangu utawala wa Mkapa na matatizo hayajaisha lakini bado tunataka tutafute mwekezaji mwingine.

Kinachotakiwa ni usimamizi wenye adhabu kali kwa wanaopewa kuendesha mashirika hayo. China ukivurunda mali ya umma unahyongwa!
 
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa kuendelea, mimi nilitaka niipe miaka 2 pekee.

Sasa ipo hivi, huu mradi ni wetu sote na unatusaidia zaidi sana tunatamani udumu miaka yote mpaka vitukuu waje wautumie na wa enjoy kwamba kuna raia wa Kale walithubutu mambo makubwa.

Kwa nini unaonekana sio sustainable?
1. Waajiriwa wengi wa serikali si waaminifu kabisaaa, wao wanawaza kupiga pesa Kwa kwenda mbele, mkurugenzi akiona maingizo bil. 4 ataenda akae abuni malipo ya hovyo walipane hizo pesa mpaka akaunti isome negative, rejea usafiri wa mabus ya mwendokasi na ndege. Ndege zitu zinaendeshwa Kwa hasara na mabus mengi yamepaki yanaozeana. Nasikia hata mfumo wa tiketi wameuchezea wanakusanyia bogoroni.!!
Rejea mashirika ya umma yote mfano TTCL ni hasara tupu.!!!

2. Huu usafiri ni delicate sana, unahitaji care na maintaince muda wote kitu ambacho serikali haiwezi kufanya biashara ya hivyo, mara nyingi mfumo wa serikali unataka kuona pesa inaingia tu na si kutoka na kama itatoka basi lazima ipigwe sana, kitu cha kutengeneza laki 2 kitatengenezwa Kwa bil. 2. Rejea mifumo ya manunuzi na matengenezo serikalin.

Mapema kabisa zimeanza delay za kuanza safari na kufupisha ruti, nasikia ngedere wanatupiwa lawama zote.!

3. Vita/fitina dhidi ya wafanya biashara wa mabus.
Juzi nilikua Dodoma, ikaingia bus ya Shabiby, wale ma agent nikakuta wanaongea " ona bus ipo empty kabisa, yaani hii tren inatulaza njaa" mi nilikua nawasikiliza tu pembeni.
Fikiria, tren at once inabeba abiria 700+ ambao ilikua wawe wamepanda mabus zaidi ya 14.
Hawa wafanyabiashara wanaweza wakaongea na wasimamizi wa tren wafanye sabotage ili tren ikwame abiria wakajaze mabus yao.
Kama kipindi cha Magu waliweza kufungulia maji ili umeme usipatikane makampuni yauze jenereta, solar na tununue umeme nje watashindwa nini kwenye tren.???

Nini kifanyike!?
1. Atafutwe muwekezaji, serikali iingie mikataba mifupi mifupi labda miaka 2 then ana renew au anashindanishwa na wawekezaji wengine.
Maadam pirot ya makusanyo ipo ni rahisi kuingia mkataba profitable.

2. Kama itabaki kusimamiwa na serikali basi apatikane msimamizi top ambaye ni mwaminifu na anahofu ya Mungu, mfano prof Assad yule mzee wa CAG ila aongeze ukali Kwa atakao kuwa anawasimamia vinginevyo mradi utakua shamba la bibi.!
Ushauri namba 2 ni dhaifu.!

"Serikali haiwezi kufanya biashara, itapigwa na itafeli tuu"
Prof assad ni fisadi na mla rushwa mzuri tu ni vile hujafanya naye kazi,inshu hapa waingie wawekezaji tu serikali ikae pembeni vinginevyo ya mwendokasi yanatufuata siku sio nyingi.
 
Kati ya mwaka 1994 na 1997 serikali ya China ilinunua treni chache sana kutoka Ufaransa, Ujerumani na Japan. Ikazifanyia reverse engineering na baada ya miaka 10 ikawa inategeneza treni zake yenyewe. Leo hii China ndiyo inayoongoza kwa wingi wa treni za mwendo kasi duniani. Treni zote za China zinaendeshwa na mashirika ya kiserikali, hakuna kinachoitwa mwekezaji labda subcontractors wa hayo mashirika. Hivi watanzania sisi tumerogwa wapi kudhani kuwa matatizo yetu yatatuliwa na wawekezaji? Neno wawekezaji nimelisikia sasa mwaka wa 29 tangu utawala wa Mkapa na matatizo hayajaisha lakini bado tunataka tutafute mwekezaji mwingine.

Kinachotakiwa ni usimamizi wenye adhabu kali kwa wanaopewa kuendesha mashirika hayo. China ukivurunda mali ya umma unahyongwa!
Shida yetu majizi na mafisadi ya ccm yanalindana sana na hayawezi kuwajibishana we huoni tu hata kwenye teuzi na tenguzi akivurunda sehemu a anahamishiwa sehemu b,kimsingi katiba hii na serikali ya ccm hii kila mradi wa umma lazima utafeli tu.
 
Wewe mwenyewe ukiwa top kwenye hiyo miradi utataka tu 10% kilazima, uwe unataka au hutaki.

Ndio utamaduni wetu huo ndgu yangu, kuna mahali mtumishi anataka kufanya wema ila mfanyiwa wema anataka atoe chochote kitu ni basi tu kazoea kununua haki, anaamini kile chochote anachotoa kitamlinda endapo akimessup.

Rushwa, ubadhirifu wa fedha ni janga kubwa sana hii nchi. Imagine mtu anaiba waziwazi kabisa bila kificho ila mamlaka zinamkingia kifua...
Mkono mtupu haulambwi
Halafu walishazoea
Nchi ya kitu kidogo
 
Kati ya mwaka 1994 na 1997 serikali ya China ilinunua treni chache sana kutoka Ufaransa, Ujerumani na Japan. Ikazifanyia reverse engineering na baada ya miaka 10 ikawa inategeneza treni zake yenyewe. Leo hii China ndiyo inayoongoza kwa wingi wa treni za mwendo kasi duniani. Treni zote za China zinaendeshwa na mashirika ya kiserikali, hakuna kinachoitwa mwekezaji labda subcontractors wa hayo mashirika. Hivi watanzania sisi tumerogwa wapi kudhani kuwa matatizo yetu yatatuliwa na wawekezaji? Neno wawekezaji nimelisikia sasa mwaka wa 29 tangu utawala wa Mkapa na matatizo hayajaisha lakini bado tunataka tutafute mwekezaji mwingine.

Kinachotakiwa ni usimamizi wenye adhabu kali kwa wanaopewa kuendesha mashirika hayo. China ukivurunda mali ya umma unahyongwa!
Wewe ndiyo umeongea point
Inatakiwa adhabu kali ukiharibu mali ya umma
 
Back
Top Bottom