Nini Kifanyike Ili Viganja Viwe Laini?

Salam kwenu madokta, samahani naomba mnifahamishe maana nimetumia lotion nyingi lakin hazina msaada kwake bado viganja vyake ni vigumu kama unyayo wa askari wa wanyama pori.

Havileti stimu kabisa yani

Nawasilisha.

acha kupiga punyeto sugu zitaisha mkononi.
 
Kabla ya kulala chukua maji ya uvuguvugu.
Kamulia limau halafu ganda litupie humohumo.
Loweka mikono yako kwa dk 15
Ukitoa paka mafuta ya nazi au Vaseline au ya mzeituni(extra virgin olive oil) kila siku.
Halafu chagua sabuni zisizo na kemikali kali
 

mkuu nashukuru sana...matumizi yameshaanza hvyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…