Wadau bado kuna ufahamu mdogo nini kifanyike kuboresha mtaala wa elimu.
1. Kuandaa vijana wetu kwenye mtaala ili washiriki uchumi wa viwanda lazima Sera ya Elimu lazima ibainishe kuwa Shule ni kituo cha kukuza ubunifu.
2. Ili kutekeleza hilo, mtaala utabainisha ufundishaji unakuza na kujenga ujuzi kwa mwanafunzi. Lazima tuelewe kuwa ufundishaji unaokuza na kujenga ujuzi ni zaidi ya kufanya practical mfano kwenye masomo ya Sayansi. Nashangaa kwa nini hili suala halieleweki. HATA ukiwa na vifaa vya kutosha kwenye maabara na kufanya practical bado hatujafikia utatuzi wa tatizo tulilonaloi.
Ufundishaji unaojenga ujuzi unafanyika kukiwa na "both minds on and hands on activities". Baada ya kupata maarifa kutoka kwa Mwalimu kwenye kipindi cha dk 40 au 80. Hadi sasa hakuna ufundishaji unaozingatia kukuza na kujenga ujuzi kwa wanafunzi. Ufundishaji huo ndiyo tunaoutaka kwenye mtaala ambapo kwa watu tuliofanya tafiti za kutosha inaeleweka.
Ni vile sisi wengine tunakosa forum ya kuelezea kwa kina suala hili. Mfano, hata wanafunzi wakifanya practical ukamilishaji wa kukuza na kujenga ujuzi wa kilichosoma kwenye hiyo practical hakija kamilika.
Hii ni lazima tutengeneze pedagogical framework pamoja na assessment framework ambayo kwenye mtaala haipo. Wenzetu wanatumia hiyo pedagogy utaona kuwa Innovation nyingi zinafanywa na watoto kuanzia miaka 14 hadi 25.
1. Kuandaa vijana wetu kwenye mtaala ili washiriki uchumi wa viwanda lazima Sera ya Elimu lazima ibainishe kuwa Shule ni kituo cha kukuza ubunifu.
2. Ili kutekeleza hilo, mtaala utabainisha ufundishaji unakuza na kujenga ujuzi kwa mwanafunzi. Lazima tuelewe kuwa ufundishaji unaokuza na kujenga ujuzi ni zaidi ya kufanya practical mfano kwenye masomo ya Sayansi. Nashangaa kwa nini hili suala halieleweki. HATA ukiwa na vifaa vya kutosha kwenye maabara na kufanya practical bado hatujafikia utatuzi wa tatizo tulilonaloi.
Ufundishaji unaojenga ujuzi unafanyika kukiwa na "both minds on and hands on activities". Baada ya kupata maarifa kutoka kwa Mwalimu kwenye kipindi cha dk 40 au 80. Hadi sasa hakuna ufundishaji unaozingatia kukuza na kujenga ujuzi kwa wanafunzi. Ufundishaji huo ndiyo tunaoutaka kwenye mtaala ambapo kwa watu tuliofanya tafiti za kutosha inaeleweka.
Ni vile sisi wengine tunakosa forum ya kuelezea kwa kina suala hili. Mfano, hata wanafunzi wakifanya practical ukamilishaji wa kukuza na kujenga ujuzi wa kilichosoma kwenye hiyo practical hakija kamilika.
Hii ni lazima tutengeneze pedagogical framework pamoja na assessment framework ambayo kwenye mtaala haipo. Wenzetu wanatumia hiyo pedagogy utaona kuwa Innovation nyingi zinafanywa na watoto kuanzia miaka 14 hadi 25.