Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Thank youBado hujaelewa, kwanini mnalalamikia January wakati mnajua December mzunguko unakuwa mkubwa sana?,jibu ni kwamba watu wanakuwa wametumia ela December na January hawana kitu. Hilo ndo jibu. Sasa kwanini utumie nje ya uwezo?, Umewahi kusikia nchi yoyote ya ulaya wanalalamikia January hakuna ela?,au ni nyie shitholes countries mnaoishi na kutumia pesa bila mahesabu!?.., NB:, Mimi sio mbaguzi ila naongelea uhalisia bila kujali kama utakuudhi.
Habari ya kusave kwenye hii nchi ya uchumi wa kati wa chini na mfumuko wa bei ulivyo siyo practical. Ni bora ili kuokoa mdororo unaotokea january, basi mdororo usambazwe kwa mwaka mzima kwa fungu fulani kutoka januaryMatumizi yasiyo Lazima yangepunguzwa kuanzia September, unaingia January kifua mbele.
Nakazia,Bado hujaelewa, kwanini mnalalamikia January wakati mnajua December mzunguko unakuwa mkubwa sana?,jibu ni kwamba watu wanakuwa wametumia ela December na January hawana kitu. Hilo ndo jibu. Sasa kwanini utumie nje ya uwezo?, Umewahi kusikia nchi yoyote ya ulaya wanalalamikia January hakuna ela?,au ni nyie shitholes countries mnaoishi na kutumia pesa bila mahesabu!?.., NB:, Mimi sio mbaguzi ila naongelea uhalisia bila kujali kama utakuudhi.
January huwa ngumu si kwa sababu ya matumizi ya disemba, ni sababu ya majukumu ya mwezi huo. Ada, kodi mbalimbali, bei ya chakula kuwa juu na investments kwenye kilimo. Umewahi sikia juu ya stimulus packages zinazotolewa na serikali za Ulaya na Marekani? umesikia welfare programs zao? unafikiri serikali hizo hazijui kuwa watu wanatakiwa kuwajibika na uchumi wao? Again, acha kuhusisha hizi habari na rangi, ni ushamba mkubwa.Bado hujaelewa, kwanini mnalalamikia January wakati mnajua December mzunguko unakuwa mkubwa sana?,jibu ni kwamba watu wanakuwa wametumia ela December na January hawana kitu. Hilo ndo jibu. Sasa kwanini utumie nje ya uwezo?, Umewahi kusikia nchi yoyote ya ulaya wanalalamikia January hakuna ela?,au ni nyie shitholes countries mnaoishi na kutumia pesa bila mahesabu!?.., NB:, Mimi sio mbaguzi ila naongelea uhalisia bila kujali kama utakuudhi.
Easily saidkusave kunadororesha uchumi.
Yes, kusave kwa mapato ya kima cha chini na mfumuko wa bei.Easily said
Vitega uchumi vingi unavyooana mitaani na vijijini vyote ni vya watu wa kipato cha juu na kati? Kifogo wanapata wanaeekezaKwa kipato hiki cha uchumi wa kati wa chini na mfumuko wa bei kusave ni ngumu sana.
Nilikuwa sijaelewa kumbe ndo umeanzisha huu Uzi baada ya kwenda ATM ukakuta inasoma ZERO. Watu wenye mpangilio wa budget huwezi kusikia wanapiga hizi kelele. Usiseme tunakufa Kwa njaa sema nakufaa na usipende kuhusisha jamii nzima kwenye yanayokusibu, Kwa wengine January ndo mwezi wa kupiga ela. Wengine December, na wengine mwaka mzima fresh. Acha kulalamika lalamika mtandaoni mtoto wa kiume. January haina tatizo wewe ndo tatizoJanuary huwa ngumu si kwa sababu ya matumizi ya disemba, ni sababu ya majukumu ya mwezi huo. Ada, kodi mbalimbali, bei ya chakula kuwa juu na investments kwenye kilimo. Umewahi sikia juu ya stimulus packages zinazotolewa na serikali za Ulaya na Marekani? umesikia welfare programs zao? unafikiri serikali hizo hazijui kuwa watu wanatakiwa kuwajibika na uchumi wao? Again, acha kuhusisha hizi habari na rangi, ni ushamba mkubwa.
jibu hoja, umewahi sikia kuhusu stimulus packages zinazotolewa na serikali za Ulaya? unafahamu kuwa hao wazungu unaowahusudu wanategemea serikali kupitia welfare programs mbalimbali?Nilikuwa sijaelewa kumbe ndo umeanzisha huu Uzi baada ya kwenda ATM ukakuta inasoma ZERO. Watu wenye mpangilio wa budget huwezi kusikia wanapiga hizi kelele. Usiseme tunakufa Kwa njaa sema nakufaa na usipende kuhusisha jamii nzima kwenye yanayokusibu, Kwa wengine January ndo mwezi wa kupiga ela. Wengine December, na wengine mwaka mzima fresh. Acha kulalamika lalamika mtandaoni mtoto wa kiume. January haina tatizo wewe ndo tatizo