Nini kifanyike kufufua Tanzania International Petroleum Refinery (Tiper)?

Haikuwa Tanzania I nter..... Ilikuwa Tanzania -Italy Petroleum Refinery.
 
TIPER=TANZANIA ITALIA PETROL REFINERY
 
Hii ndio vita kubwa ambayo mzungu hataki uifikie hasa nchi za Africa ukitaka uwekewe mpk vikwazo anzisha viwanda vyakuua biashara zao,wasipotumika watu wa ndani kwa kuwapa pesa ndefu iliwakiue then watakupiga kiuchumi,in nutshell they want African to suffer iliwao wapate hela.
 
Tlaatlaa na mwashambwa hutowaona wakichangia hoja wala kuanzisha thread za maana kama hizi wao wanasubiri mtu fulani atoke msalani waanze kumsifia kwamba hajatoka kukata gogo na kusifia ulozi wa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…