Nini kifanyike kuharakisha uokoaji Kariakoo

Wanajeshi wasimamie Kila raia alopoo kalibu hapo,abebee kitu tofari,mpaka kielewekeee anaekaa kurekodi weka bazii arudiu kwaoo kulalaaa.
 
Dead load ni kubwa sana kwenye jengo.
Hapo kuna dead load ya almost tani 150, hiyo deadload inatoka tu bila hata kutindua. Baada ya kutoa deadload ndio uunatumia jack hammer kutindua, hakuna kitachotitia.
unapotoa dead load chance ya another collapse ipoje?control yake ipoje?
Nakubali sana unavyochangia mada hii kwa weledi!
 
unapotoa dead load chance ya another collapse ipoje?control yake ipoje?
Nakubali sana unavyochangia mada hii kwa weledi!
Unapotoa dead load, chance za collapse zinapungua sana, sasa hivi nguzo zote ukiangalia kwenye picha zipo weak, huwezi tindua chochote kwa mzigo uliopo.
Picha za zamani za jengo zinaonyesha floor ya juu kabisa iliyoezekwa na bati haikuwepo zamani, hivyo haina attachmemt yoyote na jengo, hiyo yote ni dead load, ndio chanzo cha jengo kutitia na kuleta madhara zaidi.

Mfano mdogo tu, kama juu kabisa waliongeza floor kwa tofali 5,000 na kila tofali lina kilo 20, hivyo huko juu kuna tani 100, hujaweka kench, bati na upuuzi mwingine.

Sasa ukitoa dead load yote kwenye jengo, uokozi unakuwa rahisi.
 
Jambo ambalo halihatarishi madaraka ya CCM huwa kuna protocol nyingi na kujivuta vuta sana.😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…