dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Wakuu hii nchi inakwenda vibaya sana na naona watawala wanachukulia swala la utekaji kama drama na wamebariki watu watekwe na kisha wauwae
Mwaka huu matendo ya utekaji yamekuwa mengi sna kila mmoja wetu analitambua hilo
Walio tekwa ni jamaa zetu marafiki zetu
Sasa Leo tuje na mbinu gani itumike ili kukomesha mambo haya ya kipuuzi na njia ipi pia itumike kupambna na watekaji
Kwa vile serekali imeshindwa kutulinda na kuwa dhibiti watekaji
Mwaka huu matendo ya utekaji yamekuwa mengi sna kila mmoja wetu analitambua hilo
Walio tekwa ni jamaa zetu marafiki zetu
Sasa Leo tuje na mbinu gani itumike ili kukomesha mambo haya ya kipuuzi na njia ipi pia itumike kupambna na watekaji
Kwa vile serekali imeshindwa kutulinda na kuwa dhibiti watekaji