Nini kifanyike kukomesha utekaji

Nini kifanyike kukomesha utekaji

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Wakuu hii nchi inakwenda vibaya sana na naona watawala wanachukulia swala la utekaji kama drama na wamebariki watu watekwe na kisha wauwae
Mwaka huu matendo ya utekaji yamekuwa mengi sna kila mmoja wetu analitambua hilo

Walio tekwa ni jamaa zetu marafiki zetu

Sasa Leo tuje na mbinu gani itumike ili kukomesha mambo haya ya kipuuzi na njia ipi pia itumike kupambna na watekaji
Kwa vile serekali imeshindwa kutulinda na kuwa dhibiti watekaji
 
Raia tukiona askari wanakamata mtu kwa nguvu nikuchoma gari lao moto nakuwapiga kwa mawe mengi sana, kwa sababu askari hawaheshimu raia over kama mbwai iwe mbwai tu wao si wanaona wana mamlaka ngoja nguvu ua umma iamue tuone nani mshindi
 
Raia tukiona askari wanakamata mtu kwa nguvu nikuchoma gari lao moto nakuwapiga kwa mawe mengi sana, kwa sababu askari hawaheshimu raia over kama mbwai iwe mbwai tu wao si wanaona wana mamlaka ngoja nguvu ua umma iamue tuone nani mshindi
Kwa kweli ni kochoma moto gari lap tu
 
Kwa kweli ni kochoma moto gari lap tu
Yeah hao askari dawa yao ni uhuni uhuni ili wanapotumwa waongope tekeleza mfano sakata la juzi si watu wamemtambua afande jose nikufutilia anaishi wapi mnaenda na dumu la petrol mnawasha nyumba yake moto

Kama vipi tuanze kudeal na vituo vya police na nyumba za waheshimiwa wabunge uko majimboni nikupiga kiberiti tu dadeki kimya kimya ili tuheshimiane
 
Yeah hao askari dawa yao ni uhuni uhuni ili wanapotumwa waongope tekeleza mfano sakata la juzi si watu wamemtambua afande jose nikufutilia anaishi wapi mnaenda na dumu la petrol mnawasha nyumba yake moto

Kama vipi tuanze kudeal na vituo vya police na nyumba za waheshimiwa wabunge uko majimboni nikupiga kiberiti tu dadeki kimya kimya ili tuheshimiane
Hii mbinu zako ni hatari sna kama itatelekezwa wata ogopa sna
 
Hakikisha unatembea na kisu, bisibisi, ama silaha yoyote rahisi kuitumia. Ukiona wanakuzonga wahi moja kwenye koo fasta mtangulize hata kama ukiuwawa kwenu wazike na kwao wazike. Ukiweza kutwanga wawili na kuendelea ujengewe sanamu eneo la tukio. Pia wananchi wawe na ushirikiano kama wa Tegeta, ndio njia pekee ya kuondokana na utekaji.
 
Wakuu hii nchi inakwenda vibaya sana na naona watawala wanachukulia swala la utekaji kama drama na wamebariki watu watekwe na kisha wauwae
Mwaka huu matendo ya utekaji yamekuwa mengi sna kila mmoja wetu analitambua hilo

Walio tekwa ni jamaa zetu marafiki zetu

Sasa Leo tuje na mbinu gani itumike ili kukomesha mambo haya ya kipuuzi na njia ipi pia itumike kupambna na watekaji
Kwa vile serekali imeshindwa kutulinda na kuwa dhibiti watekaji
Mimi Nimependa Avata tu
 
Hakikisha unatembea na kisu, bisibisi, ama silaha yoyote rahisi kuitumia. Ukiona wanakuzonga wahi moja kwenye koo fasta mtangulize hata kama ukiuwawa kwenu wazike na kwao wazike. Ukiweza kutwanga wawili na kuendelea ujengewe sanamu eneo la tukio. Pia wananchi wawe na ushirikiano kama wa Tegeta, ndio njia pekee ya kuondokana na utekaji.
Sahihi silaa ni muhimu pia kuyembee nayo hasavisu hv za kichini
 
hivi kwanini tusiwaloge hawa watu wa serikalini wafe
 
Wakuu hii nchi inakwenda vibaya sana na naona watawala wanachukulia swala la utekaji kama drama na wamebariki watu watekwe na kisha wauwae
Mwaka huu matendo ya utekaji yamekuwa mengi sna kila mmoja wetu analitambua hilo

Walio tekwa ni jamaa zetu marafiki zetu

Sasa Leo tuje na mbinu gani itumike ili kukomesha mambo haya ya kipuuzi na njia ipi pia itumike kupambna na watekaji
Kwa vile serekali imeshindwa kutulinda na kuwa dhibiti watekaji
Kupiga YOWE wakija kukuchukua kihuni ili raia wawatembezee kichapo.
 
Ss hv nikuviziana tu watekajii wakija wasipoweza kuondoka na ww waitiee mwizii raia waruke nao Kwa mawe na motoo..

Tumeelewana ndugu zanguu
FB_IMG_1733322947733.jpg
 
Back
Top Bottom