dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #21
Rai wetu waoga sna wakotishwa kidg tu wanasepaKupiga YOWE wakija kukuchukua kihuni ili raia wawatembezee kichapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rai wetu waoga sna wakotishwa kidg tu wanasepaKupiga YOWE wakija kukuchukua kihuni ili raia wawatembezee kichapo.
Dokta hi Avatar vipi ?Kwa kweli ni kochoma moto gari lap tu
hivi yukogo wapi huyu babuSs hv nikuviziana tu watekajii wakija wasipoweza kuondoka na ww waitiee mwizii raia waruke nao Kwa mawe na motoo..
Tumeelewana ndugu zanguuView attachment 3171351
C mlimkata na sera zakee za ubwabwa mkachagua CCM mkuu😅hivi yukogo wapi huyu babu
😅😅😅😅😅😅😅C mlimkata na sera zakee za ubwabwa mkachagua CCM mkuu😅
Ccm waachie ngaziWakuu hii nchi inakwenda vibaya sana na naona watawala wanachukulia swala la utekaji kama drama na wamebariki watu watekwe na kisha wauwae
Mwaka huu matendo ya utekaji yamekuwa mengi sna kila mmoja wetu analitambua hilo
Walio tekwa ni jamaa zetu marafiki zetu
Sasa Leo tuje na mbinu gani itumike ili kukomesha mambo haya ya kipuuzi na njia ipi pia itumike kupambna na watekaji
Kwa vile serekali imeshindwa kutulinda na kuwa dhibiti watekaji
HaswaaaaMaandazi ya Mungu yatumike. Yamejaa kila mahali burere.
Inategemea na situation iliyopo hata tegeta jamaa waliliza njugu hewani lakini walichezea kichapo.Rai wetu waoga sna wakotishwa kidg tu wanasepa