Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Apr 25, 2022 #1 Great thinkers, Hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la mabinti wenye umri mdogo (umri Kati ya miaka 14-20s) kupata watoto. Nini kifanyike kumaliza hili tatizo?
Great thinkers, Hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la mabinti wenye umri mdogo (umri Kati ya miaka 14-20s) kupata watoto. Nini kifanyike kumaliza hili tatizo?
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Apr 25, 2022 #2 Unyago kwa watoto yale wanayofundishwa unyagoni wanatafuta sehemu ya kupractise. Mabweni kwa wanafunzi wa kike pia ni muhimu sana.
Unyago kwa watoto yale wanayofundishwa unyagoni wanatafuta sehemu ya kupractise. Mabweni kwa wanafunzi wa kike pia ni muhimu sana.