Nini kifanyike kumaliza tatizo la mimba za utotoni?

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
24,606
Reaction score
39,289
Great thinkers,

Hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la mabinti wenye umri mdogo (umri Kati ya miaka 14-20s) kupata watoto. Nini kifanyike kumaliza hili tatizo?
 
Unyago kwa watoto yale wanayofundishwa unyagoni wanatafuta sehemu ya kupractise.
Mabweni kwa wanafunzi wa kike pia ni muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…