MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Nini maana ya Sanaa sasa kama atashindwa kuwa yeye kama yeye, inawezekana umeanza kumsikiliza juzi ama ndio umemfahamu kupitia thread hii, Ningekushauri tu jaribu kununua kazi zake utakutana na hiyo message unayoitaka, album yake ya mwisho nimeinunua ni Katiba Mpya Ina nyimbo kama Watanganyika wadanganyika, Bara zuri, Nani aliyeturoga na Katiba mpya, zote hizo zina aina ya maudhui unayoyatakaAimbe na atumie tungo kama za NAY
Yaeza kua nkajua kazi zake zaidi yako, na mara nyingi msanii lazima awe na uwezo wa kucheza na mahitaji ya fans, lifestyle ya wasikilizaji wa nyimbo zake hubadlika kila day, msanii lazima awe flexible ndo maana akina Fid, Dully, nk wapo mzigoni jana na leo, walioamua kuuishi uzamani wanapotea kila kukicha.Nini maana ya Sanaa sasa kama atashindwa kuwa yeye kama yeye, inawezekana umeanza kumsikiliza juzi ama ndio umemfahamu kupitia thread hii, Ningekushauri tu jaribu kununua kazi zake utakutana na hiyo message unayoitaka, album yake ya mwisho nimeinunua ni Katiba Mpya Ina nyimbo kama Watanganyika wadanganyika, Bara zuri, Nani aliyeturoga na Katiba mpya, zote hizo zina aina ya maudhui unayoyataka
Presentation skills inaweza fanya mzigo usiende kwa walengwaNini maana ya Sanaa sasa kama atashindwa kuwa yeye kama yeye, inawezekana umeanza kumsikiliza juzi ama ndio umemfahamu kupitia thread hii, Ningekushauri tu jaribu kununua kazi zake utakutana na hiyo message unayoitaka, album yake ya mwisho nimeinunua ni Katiba Mpya Ina nyimbo kama Watanganyika wadanganyika, Bara zuri, Nani aliyeturoga na Katiba mpya, zote hizo zina aina ya maudhui unayoyataka
Mashabiki wake ni watu wa aina yako, no wonder yuko vile alivyo.Wewe unafanya shughuli Gani tuanzie apo kwanza?
Yaah, inategemea na brain capacity ya mlengwaPresentation skills inaweza fanya mzigo usiende kwa walengwa
Ndio maana na yeye ana mashabiki/wasikilizaji wake, wasingekuwepo sidhani kama angeendelea kutoa album. Hao unao waita flexible wana fan base yao pia vile vile kuna watu hata hawawafahamu kabisaYaeza kua nkajua kazi zake zaidi yako, na mara nyingi msanii lazima awe na uwezo wa kucheza na mahitaji ya fans, lifestyle ya wasikilizaji wa nyimbo zake hubadlika kila day, msanii lazima awe flexible ndo maana akina Fid, Dully, nk wapo mzigoni jana na leo, walioamua kuuishi uzamani wanapotea kila kukicha.
Amefanya kitu gani cha kumtia aibu?Umesimanga kuliko kueleza kafanya nini.Kijana Niki Mbishi anayejiusisha na shughuli za kurap amekuwa sio mtu mwenye muenendo mzuri.
Amejaa jazba, malalamiko, shari, migogoro, umbeya na upotevu wa nuru.
Watu wanasema ni sababu ya shughuli zake za kurap hazijawai kumletea manufaa ya kuweza kujikimu kimaisha hivyo amejaa msongo wa mawazo na kujikatia tamaa.
Wengine wanasema sababu ni matumizi makubwa ya vilevi vya kupima hivyo vinasababisha anapoteza uwezo wa kutafakari na kutafuta pesa inayopelekea kuwa mtu wa hovyo.
Una nini cha kumshauri kijana huyu wa kikurya anaeigiza umarekani?
Mimi namshauri atafute shughuli nyingine ya kufanya hiki anachofanya sasa atakufa maskini.
Akiwa kama baba wa familia anatakiwa sasa ajitambue aache wivu na majungu hazijawai msaidia ila apambane. Watu walimpa nafasi wakaishi kupata hasara sasa asilazimishe kupewa nafasi hakuna mtu anaweka pesa yake ili afurahishe masela.
Hakuna anaemkwamisha kwenye hii safari yake bali ni yeye mwenyewe hivyo asitafute mchawi kila siku.
Mwenye ushauri mwingine tumsaidie
Eti wanasema wanakomboa mitaa ilihali wao njaa kali ndio wanapaswa kukombolewa 😂sio yeye tu,wasanii wengi wa rap wamekata ringi, wanachorap hakina soko wala mashiko so watapataje pesa? ila wengi wao ni masela m*vi tu na wanazidi kuuendekeza.
Niki majungu kama demu wa kidigoSasa kati ya wewe na Nikki Mbishi ni nani ana majungu?