Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Shaloom Shaloom
Katika pitapita zangu kwenye barabara ya Morogoro nimekumbana na tatizo kubwa la foleni kutoka ubungo mpaka Kimara kuelekea Mbezi. Foleni ni kubwa na haisogei kutokana na shughuli za ujenzi na utanuzi wa hii barabara.
Je nini kifanyike kupunguza msongamano mkubwa wa foleni majira ya asubuhi na jioni?
Unaweza kukaa kwenye foleni zaidi ya masaa 2 kutoka ubungo mpaka Mbezi. Kitu kinachopelekea kuchelewa katika shughuli za ujenzi wa Taifa.
Katika pitapita zangu kwenye barabara ya Morogoro nimekumbana na tatizo kubwa la foleni kutoka ubungo mpaka Kimara kuelekea Mbezi. Foleni ni kubwa na haisogei kutokana na shughuli za ujenzi na utanuzi wa hii barabara.
Je nini kifanyike kupunguza msongamano mkubwa wa foleni majira ya asubuhi na jioni?
Unaweza kukaa kwenye foleni zaidi ya masaa 2 kutoka ubungo mpaka Mbezi. Kitu kinachopelekea kuchelewa katika shughuli za ujenzi wa Taifa.