mbaraka.m
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 209
- 37
Kwa upande wangu naona yafuatayo yafanyike:1-mitaala yenye kueleweka.2-mwisho kwenda ualimu grade A iwe div three.3-kuwe na pre-form 1 kwa one yr kuwaandaa wanafunz kuingia kidato cha 1.4-lifestyle za wazaz na wanafunz zibadilike i.e wazaz wajue wajibu wao na wanafunz wajue kwa nin wanasoma na kuachana na ubitoz na usharobaro.5-maslah kwa walimu.6-miundo mbinu mashulen iboreshwe eg maktaba.7-viboko shule ya msing zirudishwe ili kubust nidhamu.8-mtihan wa taifa form two urudishwe.9-kabla ya wanafunz kuanza pre-form 1 kuwe na wiki 2 za guiding and counselling. NB-elimu ya msing ndo dira ya yote,wadau ongezeeni mengine