kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
Habari zenu wadau
Naomba Msaada wa ushauri au maoni kuhusu jambo hili.
Ikiwa umenunua kiwanja maeneo ya kando ya mji, ukajenga nyumba na eneo lingine likabaki, majirani walipoanza kuongezeka wakaomba kutumia eneo lile kama njia ya miguu, mwisho ikawa njia kuu ya wao na magari ya kuingia majumbani mwao.
Je, mmiliki ukitaka kurejesha eneo lako unapaswa kufuata taratibu za kisheria au unaamua tu kufunga hiyo njia? Na je majirani wanaweza kuzuia kitendo hicho au ipo sheria inayo walinda?
Naombeni maoni yenu juu ya hili, maamuzi yanahitajika.
Naomba Msaada wa ushauri au maoni kuhusu jambo hili.
Ikiwa umenunua kiwanja maeneo ya kando ya mji, ukajenga nyumba na eneo lingine likabaki, majirani walipoanza kuongezeka wakaomba kutumia eneo lile kama njia ya miguu, mwisho ikawa njia kuu ya wao na magari ya kuingia majumbani mwao.
Je, mmiliki ukitaka kurejesha eneo lako unapaswa kufuata taratibu za kisheria au unaamua tu kufunga hiyo njia? Na je majirani wanaweza kuzuia kitendo hicho au ipo sheria inayo walinda?
Naombeni maoni yenu juu ya hili, maamuzi yanahitajika.