Nini kifanyike kuwajengea uwezo wanasiasa waandamizi wa Tanzania waweze kujieleza kwenye Vyombo vya Habari?

Nini kifanyike kuwajengea uwezo wanasiasa waandamizi wa Tanzania waweze kujieleza kwenye Vyombo vya Habari?

Hili ni KOSA kubwa sana Mayalla unalifanya kama expert na mwandishi mwenye weledi sana.

When you say hakuna mbadala wa CCM , what do you mean exact ? It is fear and cognitive dissonance that have been made to most of Tanzanians . I did not expect this from you , Pascal

JPM
aliweza kuwa Rais , Kama Samia pia ameweza kuwa Rais , why hakuna mbadala wa CCM …????

….please that is a disease , it is time now to end

! Unataka kuniambia Samia ni muadilifu and Intellectuel than Lissu? Mbowe? Zitto? Hashim Rungwe? Au unataka kuniambia JPM alikuwa mwadilifu and intellectual than Lissu Mbowe Hashim, ZZK etc etc ? Kama jibu ni NO , what makes you say hakuna mbadala wa CCM , did you ever expected tunaweza kuja kuwa na Rais Kama Samia?

Now she is the President of URT Despite of many denials !

Any body can be any body , the county is not for CCM. Lissu can make a better presidency , same to Mbowe and ZZK etc etc . Tuache hii dhambi ya hakuna mbadala wa CCM ni cognitive dissonance mbaya na ni Sawa na wale wanaoamini the only way to heaven is through Jesus, others are misguided ….. shame !!


Mayalla, there is no time itafika tuje kusema sasa tuna watu sahihi wa kuitoa CCM , hao watu will never last , watakufa before their time comes, CCM ni distractors . Upinzani sahihi wa kuitoa CCM upo sahihi hivi, Lissu can be a president, Mbowe, Hashim all of them, they can be , !! Why you think the opposite .?

Kama sio dhulma ya CCM, Lowasa would have died as president of URT ! Nchi sio ya CCM and any body can be any body for as long as ana qualifications.

CCM has proven failures over 60 years , Over 60 Years still a country ipo kama dump, jalala! yet unasema hakuna mbadala wa CCM? Are you serious !

Unlese you meant hakuna mbadala wa kuharibu nchi kama CCM , otherwise….. I am out . Kazi ya mwandishi ni kutoa elimu kwa jamii katika ukweli na sio kuwa chawa, that’s not the way to talk

Who killed Ali Mohammed Kibao? I think you are right when you say hatuna mbadala wa CCM! the country will never forget this political party , ni adui mkubwa wa maendeleo ya Tanzania. Lissu would have been a dead body now , ni kweli hatuna mbadala wa CCM !

all best Mayala!
Msamehe bure huyu Mzee, anapambana Sana kupata nafasi ya kisiasa au uwakilishi wowote huko Ccm hivyo ataandika lolote Ili kujitengenezea fursa
 
Hili ni KOSA kubwa sana Mayalla unalifanya kama expert na mwandishi mwenye weledi sana.

When you say hakuna mbadala wa CCM , what do you mean exact ? It is fear and cognitive dissonance that have been made to most of Tanzanians . I did not expect this from you , Pascal
Mkuu Megalodon , kwanza naomba kuheshimu opinion yako on me, na sio wewe tuu mko wengi mnaamini CCM in mbadala. Kosa langu humu jf always ni lili lile la kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yangu kuwa kwa vyama vya siasa hivi vilivyopo, bado hakuna mbadala wa CCM, hivyo CCM bado ipo sana and probably milele if katiba haitabadilishwa!.
JPM aliweza kuwa Rais , Kama Samia pia ameweza kuwa Rais , why hakuna mbadala wa CCM …????
Hapa tunazungumzia vitu viwili tofauti, mimi nazungumzia vyama, wewe unazungumzia watu!. Kwenye vyama vilivyopo nchini, hakuna chama chochote ambacho kina weza kuireplace CCM, in terms of ability and capability, lakini mtu kuwa rais wa JMT, anybody ambaye ni presidential material, can be a president of this country na mimi nimewataja wengi tuu
- Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
Huu ni uthibitisho anybody can be a president.
….please that is a disease , it is time now to end

! Unataka kuniambia Samia ni muadilifu and Intellectuel than Lissu? Mbowe? Zitto? Hashim Rungwe? Au unataka kuniambia JPM alikuwa mwadilifu and intellectual than Lissu Mbowe Hashim, ZZK etc etc ? Kama jibu ni NO , what makes you say hakuna mbadala wa CCM ,
Uadilifu ni kitu kimoja na being intellectual ni kitu kingine!, hakuna uhusiano wa uadilifu na intellectuality
did you ever expected tunaweza kuja kuwa na Rais Kama Samia?
Sio tuu kuwa did I ever, expected, but mimi one of them who made her president kupitia kauli umba zetu!, karibu mitaa hii uone nilisema nini na lini
Now she is the President of URT Despite of many denials !

Any body can be any body , the county is not for CCM. Lissu can make a better presidency , same to Mbowe and ZZK etc etc . Tuache hii dhambi ya hakuna mbadala wa CCM ni cognitive dissonance mbaya na ni Sawa na wale wanaoamini the only way to heaven is through Jesus, others are misguided ….. shame !!

Mayalla, there is no time itafika tuje kusema sasa tuna watu sahihi wa kuitoa CCM , hao watu will never last , watakufa before their time comes, CCM ni distractors . Upinzani sahihi wa kuitoa CCM upo sahihi hivi, Lissu can be a president, Mbowe, Hashim all of them, they can be , !! Why you think the opposite .?
I don't think the opposite, but tuwape ikulu yetu kwa chama gani?.
all best Mayala!
Asante
P
 
Mkuu Megalodon , kwanza naomba kuheshimu opinion yako on me, na sio wewe tuu mko wengi mnaamini CCM in mbadala. Kosa langu humu jf always ni lili lile la kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yangu kuwa kwa vyama vya siasa hivi vilivyopo, bado hakuna mbadala wa CCM, hivyo CCM bado ipo sana and probably milele if katiba haitabadilishwa!.

Hapa tunazungumzia vitu viwili tofauti, mimi nazungumzia vyama, wewe unazungumzia watu!. Kwenye vyama vilivyopo nchini, hakuna chama chochote ambacho kina weza kuireplace CCM, in terms of ability and capability, lakini mtu kuwa rais wa JMT, anybody ambaye ni presidential material, can be a president of this country na mimi nimewataja wengi tuu
- Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
Huu ni uthibitisho anybody can be a president.

Uadilifu ni kitu kimoja na being intellectual ni kitu kingine!, hakuna uhusiano wa uadilifu na intellectuality

Sio tuu kuwa did I ever, expected, but mimi one of them who made her president kupitia kauli umba zetu!, karibu mitaa hii uone nilisema nini na lini

I don't think the opposite, but tuwape ikulu yetu kwa chama gani?.

Asante
P
Sawa however , naomba keyless unamaanisha nini unaposema hakuna mbadala wa CCM ? Labda nahitaji kuelewa kitu kwanza !!!
 
Back
Top Bottom