Naombeni ushauri wa nini kifanyike. Mdogo wangu amesoma hadi chuo kikuu. Jina la ubatizo alilolitumia shule ambalo liko kwenye vyeti vyake ni tofauti na jina alilopewa na wazazi kabla ya ubatizo.
Jina hilo la kabla ya ubatizo liko kwenye hati za mashamba aliyoachiwa na baba mkubwa, nauliza nini kifanyike ili jina hilo liingizwe hata kwenye cheti chake cha kuzaliwa?
Najua kwenye vyeti vyake vya shule haiwezekani
Jina hilo la kabla ya ubatizo liko kwenye hati za mashamba aliyoachiwa na baba mkubwa, nauliza nini kifanyike ili jina hilo liingizwe hata kwenye cheti chake cha kuzaliwa?
Najua kwenye vyeti vyake vya shule haiwezekani