Nini kifanyike mkeo anapogoma kwenda kupima vinasaba vya mtoto?

Nini kifanyike mkeo anapogoma kwenda kupima vinasaba vya mtoto?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Screenshot_20221007-195306_Lite.jpg

Bwana Ali ndoa yake ina mwaka wa tano, tangu ndoa ikiwa na miaka mitatu ugomvi usio na ukomo ulianza. Ali alikuwa akimtuhumu mkewe Asha kwa kutembea na bosi wake.

Mtoto wao ana mwaka wa pili sasa, Ali anasisitiza wakapime vinasaba lakini mama amekuwa mbogo, anasema bora apewe talaka lakini siyo kupima vinasaba.
 
View attachment 2380011
Bwana Ali ndoa yake ina mwaka wa tano, tangu ndoa ikiwa na miaka mitatu ugomvi usio na ukomo ulianza.

Ali alikuwa akimtuhumu mkewe Asha kwa kutembea na bosi wake.

Mtoto wao ana mwaka wa pili sasa, Ali anasisitiza wakapime DNA lakini mama amekuwa mbogo, anasema bora apewe talaka lakini sio kupima DNA.
Mbona msimamo wa mwanamke uko wazi?

Kazi kwake mwanaume achaguwe kusuka au kunyowa.
 
Mtoto ni siri ya Mama! Hata ungefanyaje.
Kwa hiyo hutakiwi kujipa pressure bure,mtoto ni mtoto wewe fumba macho lea mtoto akikua matunda yake ni yako.
 
Kwenye hii issue, mke anataka wagawane mali nusu kwa nusu. Tayari watoto wameshagawana.
Mtoto mkubwa ni wa baba na mama, mdogo ni wa mama na boss
 
Back
Top Bottom