Nini kifanyike Simba kushinda dhidi ya Vipers?

Nini kifanyike Simba kushinda dhidi ya Vipers?

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Ili Simba ishinde ugenini Uganda itakapocheza na Vipers kwanza kabisa Robertinho atumie mfumo wa Juma Mgunda ili kuleta ufanishi kwenye timu.

Mbinu zake hazifanyi kazi Simba kwa sbb ya wachezaj waliopo hawawez kukimbia sana na kucheza direct football kama liverpool kwa maana pass ndefu za haraka.

Simba Ianze na PHIRI pale mbele kama namba TISA harafu ianze na SAIDO kama play maker kwa sbb saido anaweza kufanya ball recovery haraka kuliko CHAMA.

Hii itaongeza ufanisi ikishindikana basi chama aanze lakini hawa vipers ni hatari sana wakiwa na mpira na simba inatesekana sana ikiwa haina mpira.

Winga ya kushoto acheze kibu denis kumsaidia zimbwe akipandisha kufanya ball recovery, kibu autanue uwanja sana ili kuongea uwazi kwenye beki ya vipers.

KANOUTE aambiwe asiwe na tamaa ya kupandisha mashambulizi hii inapelekea Simba kuwa na uwazi nyuma ambapo ndio kilichotukuta na Azam, Raja na hata tulipocheza na Mbeya City.

Kanoute kama namba 6 asiwe na tamaa ya kwenda kushambulia hii imekuwa mbaya kwetu mpaka Inonga na Onyango wanateseka kuhama hama na inasababisha Kanoute apate kadi za njano nyingi kwa sbb anakuwa hayupo kwenye eneo sahihi.

Kama kocha hataki kuelewa tukifungwa asitulaumu kitakachotokea atafukuzwa akiwa UGANDA.

Mwisho Simba tujipange sana namna ya kucheza away kuwaheshimu wapinzani na kuzitumia free kick na kona.

SIMBA NGUVU MOJA
 
Kwani hiyo mechi wanachezea wapi? Kwa Mkapa, au kwa Mu7? Wajitahidi washinde, ili kurejesha matumaini ya kusonga mbele.
 
Ili Simba wasifungwe na viper wana jambo moja tu la kufanya nalo ni lazima mmmoja kati ya makocha wasidizi hasa yule bwana majinsi akachuchumae katikati ya uwanja dakika kumi kabla ya mchezo huku akiwa amevua nguo. Akifanya hivyo mtanishukuru baadae.
 
Hiyo mechi kolo anakufa. Kwa nn?

Ataenda kushambulia kwa kasi maana hatacheza mpira wa ugenini. Iwe iwavyo simba atataka ashinde maana kwake kufungwa ni kuaga mashindano. Kitakachotokea atapigwa counter ambazo hawez kuzipangua.
 
Peleka vyeti vyako basi kwa Mo..
Mgunda nae lilikua swala tu la muda, nae angepigwa kama takataka.

Mgunda si yuko pale wakuu,,kwani yeye mpka sasa anafanya kazi gani pale kwenye benchi la Simba,!!!??
Kwamba kazi yake ni kuka tu.!?

Sikieni nyie Simba acheni janja janja,, matatizo yenu haya hapa.

1.usajiri mbovu
2.Umri wa wachezaji kikosi cha kwanza wengi kuanzia miaka30
3.Majeruhi ya mara kwa mara baadhi ya wachezaji
4.kushuka viwango, kwa wachezaji.
5.Siasa
Vile tu ligi yetu, ya bongo inasafari ndefu sana.

Kwa mlivyo sasa, ilibidi muwe mnapatiwa dozi nyingi sana, na ushindi wenu ungekuwa wa ndondokela toka mwanzo kama mlivyo sasa.

Anacho pitia liverpool pale England kwa sasa ilibid na nyie mpitie,, mshukuru tu ligi ya bongo tia maji tia maji

Matatizo baadhi ya liverpool same kwa simba.
 
Ili Simba ishinde ugenini Uganda itakapocheza na Vipers kwanza kabisa Robertinho atumie mfumo wa Juma Mgunda ili kuleta ufanishi kwenye timu.

Mbinu zake hazifanyi kazi Simba kwa sbb ya wachezaj waliopo hawawez kukimbia sana na kucheza direct football kama liverpool kwa maana pass ndefu za haraka.

Simba Ianze na PHIRI pale mbele kama namba TISA harafu ianze na SAIDO kama play maker kwa sbb saido anaweza kufanya ball recovery haraka kuliko CHAMA.

Hii itaongeza ufanisi ikishindikana basi chama aanze lakini hawa vipers ni hatari sana wakiwa na mpira na simba inatesekana sana ikiwa haina mpira.

Winga ya kushoto acheze kibu denis kumsaidia zimbwe akipandisha kufanya ball recovery, kibu autanue uwanja sana ili kuongea uwazi kwenye beki ya vipers.

KANOUTE aambiwe asiwe na tamaa ya kupandisha mashambulizi hii inapelekea Simba kuwa na uwazi nyuma ambapo ndio kilichotukuta na Azam, Raja na hata tulipocheza na Mbeya City.

Kanoute kama namba 6 asiwe na tamaa ya kwenda kushambulia hii imekuwa mbaya kwetu mpaka Inonga na Onyango wanateseka kuhama hama na inasababisha Kanoute apate kadi za njano nyingi kwa sbb anakuwa hayupo kwenye eneo sahihi.

Kama kocha hataki kuelewa tukifungwa asitulaumu kitakachotokea atafukuzwa akiwa UGANDA.

Mwisho Simba tujipange sana namna ya kucheza away kuwaheshimu wapinzani na kuzitumia free kick na kona.

SIMBA NGUVU MOJA
Unapoweka neno recovery nashindwa kujua unamaanisha nini?
 
Ili Simba ishinde ugenini Uganda itakapocheza na Vipers kwanza kabisa Robertinho atumie mfumo wa Juma Mgunda ili kuleta ufanishi kwenye timu.

Mbinu zake hazifanyi kazi Simba kwa sbb ya wachezaj waliopo hawawez kukimbia sana na kucheza direct football kama liverpool kwa maana pass ndefu za haraka.

Simba Ianze na PHIRI pale mbele kama namba TISA harafu ianze na SAIDO kama play maker kwa sbb saido anaweza kufanya ball recovery haraka kuliko CHAMA.

Hii itaongeza ufanisi ikishindikana basi chama aanze lakini hawa vipers ni hatari sana wakiwa na mpira na simba inatesekana sana ikiwa haina mpira.

Winga ya kushoto acheze kibu denis kumsaidia zimbwe akipandisha kufanya ball recovery, kibu autanue uwanja sana ili kuongea uwazi kwenye beki ya vipers.

KANOUTE aambiwe asiwe na tamaa ya kupandisha mashambulizi hii inapelekea Simba kuwa na uwazi nyuma ambapo ndio kilichotukuta na Azam, Raja na hata tulipocheza na Mbeya City.

Kanoute kama namba 6 asiwe na tamaa ya kwenda kushambulia hii imekuwa mbaya kwetu mpaka Inonga na Onyango wanateseka kuhama hama na inasababisha Kanoute apate kadi za njano nyingi kwa sbb anakuwa hayupo kwenye eneo sahihi.

Kama kocha hataki kuelewa tukifungwa asitulaumu kitakachotokea atafukuzwa akiwa UGANDA.

Mwisho Simba tujipange sana namna ya kucheza away kuwaheshimu wapinzani na kuzitumia free kick na kona.

SIMBA NGUVU MOJA
Vipers tayari kashadraw na horoya na hana uhakika wa kumfunga raja hapo kampala game pekee ya nyumbani kucheza kufa na kupona ni iyo jumamosi dhidi ya simba. Binafsi sioni simba akipata hata sare katika hii mechi
 
Leo Simba ni yakumtegemea Kibu?? Hakika Kolo wanataabika
 
Ng'ombe hanenepeshwi siku ya mnada. Tukubali tu kuwa mwaka huu hatuna timu ya ushindani.
 
Hii mechi vipers naamini Hana cha kupoteza, atakuja kutaka matokeo itategemea na Simba itakavyompokea, hii mechi inahitaji kushinda Kwa Simba, ni jambo la wachezaji Sasa kuwa committed hamna jinsi, ni mechi ya kupata matokeo ya ushindi TU, wachezaji walijue hili mambo ya kukosa nafasi hayapo kwenye hii mechi uzuri vipers tunawajua kabisa kwahiyo tunawezana.
 
Back
Top Bottom