M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wakati nasoma chuo wale watu waliokuwa wanasoma Education walikuwa hawataki hata kujulikana wanasoma nini maana kwao ilikuwa ni aibu kuonekana unasoma Education. Mtu yupo tayri kukuazima kitabu cha Course yoyote ya Law ili mradi tu aonekane si mtu wa Education. Ndo najiuliza hapa kipi kifanyike ili Fani ya UALIMU iheshimike????