M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wakati nasoma chuo wale watu waliokuwa wanasoma Education walikuwa hawataki hata kujulikana wanasoma nini maana kwao ilikuwa ni aibu kuonekana unasoma Education. Mtu yupo tayri kukuazima kitabu cha Course yoyote ya Law ili mradi tu aonekane si mtu wa Education. Ndo najiuliza hapa kipi kifanyike ili Fani ya UALIMU iheshimike????
Fani ya ualimu ni muhimu sana katika maisha ya binadamu, na unae ona anaibeza huyo ni tahiraa asiejitambua na kuelewa kua hapo alipo ni walimu ndio wame mfikisha. Walimu ungamaneni, mshikamane kwa badiriko yenu.