Nini kifanyike vijana watumie neno possession badala ya position

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
4,160
Reaction score
3,368
Imekuwa kawaida hapa Tanzania karibia maeneo yote kukuta vijana wakiongelea mpira kutumia neno position badala ya possession wanapokuwa wakimaanisha umiliki wa mpira. Na maandishi huwa wanawekewa kabisa possession kwa mfano Yanga 30%- Simba 70% lakini bado wanaendelea kutamka ilo neno pozisheni. Nimejitahidi kuwakosoa mmoja mmoja ila naona sio rahisi kufanikisha.
 
Kweli wanakosea. Lakini ni postion au position? Kuna makosa mengi sana vijana wanafanya tuendelee kusahihishana tu. Wanapaswa kuandika na kutamka possession (poseshien kwa kiswahili) yaani umiliki. Position (pozishen) ni nafasi. Kwa lugha za vijana viwanjani ingekuwa timu ili possess mpira kwa asilimia 55 na washambuliaji wetu wana jua kuji position yani kujipanga katika nafasi.
Hata hivyo sio vizuri kuchanganya kiswahili na kiingereza.
 
Kama wewe ulivyokosea hapo juu nao pia wanakosea.
 
Kama wew tu siyo postion ni position
 
Naliogopaga hili jukwaa nukajya watu huku hutema YAI TU. Kumbe Kuna uzi za kiswahili mixer Comment kwa Hiyo mtoa uneshindwa kabisa kuweka maudhui yako kwa Ung'e ng'e kama comment yangu hagahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…