Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Baada ya ziara ya rais Kanda ya Ziwa, CHADEMA wanatakiwa kwenda Kanda ya Ziwa kuelezea upande wa pili (mbadala) wa mkataba wa DP World ili wananchi waelewe ukweli ni upi.
Chadema wafafanue juu ya KIA kupewa Waarabu, BRT kuwa kwenye mjadala wa kukabidhiwa Waarabu (ukoloni mpya wa Kiarabu Tanzania).
Nachelea kuamini kuwa huenda hata SGR na ATCL watapewa Waarabu hatua kwa hatua maana zote hizo Watz hawawezi kuziendesha na zinaishi kwa hasara kama ilivyokuwa bandari na KIA.
Kazi ya msingi ya upinzani ni check and balance.
NB:
Taifa la Tanganyika halikwepeki ili kusalimika na madhila ya DP World.
Chadema wafafanue juu ya KIA kupewa Waarabu, BRT kuwa kwenye mjadala wa kukabidhiwa Waarabu (ukoloni mpya wa Kiarabu Tanzania).
Nachelea kuamini kuwa huenda hata SGR na ATCL watapewa Waarabu hatua kwa hatua maana zote hizo Watz hawawezi kuziendesha na zinaishi kwa hasara kama ilivyokuwa bandari na KIA.
Kazi ya msingi ya upinzani ni check and balance.
NB:
Taifa la Tanganyika halikwepeki ili kusalimika na madhila ya DP World.