Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Huyo huyoNape Nnauye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyoNape Nnauye
Basi ni hatariTatizo wanasiasa wana maslah binafs na watoa huduma
Na ndio maana watoa huduma wakizingua watendaj wa mashirika yanayowasimamia watoa huduma wanakua wapole kutokana na ushawish wa wanasiasa
Elimu gharamailikua hivi.
[emoji116]
1gb+dakika 100+100 sms=tsh 1,000/= 7days.
sasa ni [emoji116]
mb 449+dakika 25+50 sms kwa tsh 1,000/=
nilikua nikimnnunulia mdogo wangu internet za 10,000tsh= 10 gb,kwaajili ya kufatilia masomo youtube na kushiriki mijadala ya masomo kwenye laptop yake zilikua zikimtosha.
ila kwasasa 10,000tsh=5gb analalamika zinaisha haraka na azimtoshi analazimika kukatisha anachokisoma mtandaoni.
nini kilisababisha kupanda kwa vifurushi vya internet?.
vipi kuhusu mkongo wa taifa wa mawasiliano auna mahusiano ya moja kwa moja ya kupanda au kushuka kwa vifurushi hasa internet?
kiburi cha uzimaSamia ana uwezo mdogo saana wa akirii
Samia ni Zaifu saana
ilikua hivi.
👇
1gb+dakika 100+100 sms=tsh 1,000/= 7days.
sasa ni 👇
mb 449+dakika 25+50 sms kwa tsh 1,000/=
nilikua nikimnnunulia mdogo wangu internet za 10,000tsh= 10 gb,kwaajili ya kufatilia masomo youtube na kushiriki mijadala ya masomo kwenye laptop yake zilikua zikimtosha.
ila kwasasa 10,000tsh=5gb analalamika zinaisha haraka na azimtoshi analazimika kukatisha anachokisoma mtandaoni.
nini kilisababisha kupanda kwa vifurushi vya internet?.
vipi kuhusu mkongo wa taifa wa mawasiliano auna mahusiano ya moja kwa moja ya kupanda au kushuka kwa vifurushi hasa internet?
Una uhakika huyo mdogo wako anasoma na kufuatilia mijadala kila wakati You Tube? Chuo gani huyo anasoma anakufanganya hivyo? Au ww mwenyewe hujawahi soma au fika chuoni hadi akudanganye wazi wazi hivyo?ilikua hivi.
👇
1gb+dakika 100+100 sms=tsh 1,000/= 7days.
sasa ni 👇
mb 449+dakika 25+50 sms kwa tsh 1,000/=
nilikua nikimnnunulia mdogo wangu internet za 10,000tsh= 10 gb,kwaajili ya kufatilia masomo youtube na kushiriki mijadala ya masomo kwenye laptop yake zilikua zikimtosha.
ila kwasasa 10,000tsh=5gb analalamika zinaisha haraka na azimtoshi analazimika kukatisha anachokisoma mtandaoni.
nini kilisababisha kupanda kwa vifurushi vya internet?.
vipi kuhusu mkongo wa taifa wa mawasiliano auna mahusiano ya moja kwa moja ya kupanda au kushuka kwa vifurushi hasa internet?
Internet imekuwa ghali mno Tanzania.ilikua hivi.
👇
1gb+dakika 100+100 sms=tsh 1,000/= 7days.
sasa ni 👇
mb 449+dakika 25+50 sms kwa tsh 1,000/=
nilikua nikimnnunulia mdogo wangu internet za 10,000tsh= 10 gb,kwaajili ya kufatilia masomo youtube na kushiriki mijadala ya masomo kwenye laptop yake zilikua zikimtosha.
ila kwasasa 10,000tsh=5gb analalamika zinaisha haraka na azimtoshi analazimika kukatisha anachokisoma mtandaoni.
nini kilisababisha kupanda kwa vifurushi vya internet?.
vipi kuhusu mkongo wa taifa wa mawasiliano auna mahusiano ya moja kwa moja ya kupanda au kushuka kwa vifurushi hasa internet?
ilikua hivi.
👇
1gb+dakika 100+100 sms=tsh 1,000/= 7days.
sasa ni 👇
mb 449+dakika 25+50 sms kwa tsh 1,000/=
nilikua nikimnnunulia mdogo wangu internet za 10,000tsh= 10 gb,kwaajili ya kufatilia masomo youtube na kushiriki mijadala ya masomo kwenye laptop yake zilikua zikimtosha.
ila kwasasa 10,000tsh=5gb analalamika zinaisha haraka na azimtoshi analazimika kukatisha anachokisoma mtandaoni.
nini kilisababisha kupanda kwa vifurushi vya internet?.
vipi kuhusu mkongo wa taifa wa mawasiliano auna mahusiano ya moja kwa moja ya kupanda au kushuka kwa vifurushi hasa internet?
Elf 35 gb 17.
Elf 5- gb 2 na mb 460
Elf 2- mb 950
Voda basi tu yan
kiongozi umenipa ushauri makini, pia uwenda ilo la social media linachangia ntafatilia!Una uhakika huyo mdogo wako anasoma na kufuatilia mijadala kila wakati You Tube? Chuo gani huyo anasoma anakufanganya hivyo? Au ww mwenyewe hujawahi soma au fika chuoni hadi akudanganye wazi wazi hivyo?
Iko hivi kama ni mwanachuo, jua kabisa anakudanganya, wengi humaliza data what's up, Instagram, Facebook, Telegram, Tik Tok, Porno websites kibao via VPN kwa Tz, etc alafu anakudanganya data hazitoshi. Na huko hasomi chochote zaidi ya kumaliza data na ujinga kuongezeka.
Tena mwambie asikusumbue na zinatosha sana kusomea aache ujinga haraka, mkemee kabisa, acha kundekeza ataharibikiwa huyo, ajifunze kutafuta hela zake akikuwa, acha kabisa kulea ujinga, sbb hata ukimpa 20 gb kwa mwezi kwa mitandao hii ya social media sbb hana discipline ya kusoma, anaangalia social media tu, nakwambia hazitoshi, mkemee tena mwambie koma, soma, hizo zinatosha, sana tena, 5G akiamua ku download contents za kusomea au ku browse websites za masomo na kucheki vitu muhimu tu zinatosha sana.
Kama hajakuelewa, na ww ndio tatizo pia.
Tupe code kakaIshini na watu vizuri 1000tsz = 1gb voda
Ipo siku yao.Wanasiasa kwenye biashara ya bando ndiko wanapata pesa. Sasa wapunguze ili wasipate pesa? we ungeweza kufanya hivyo?