Nini kilifanya CAG aliyepita, Profesa Assad kuondolewa katika nafasi ile?

Nini kilifanya CAG aliyepita, Profesa Assad kuondolewa katika nafasi ile?

Yule ASAD hakuwa wa moto kama huyu.

Walijua wanampiga teke chura kumbe ndo wanamuongezea mwendo.

Kweli zimwi likujualo halikuli likakwisha
 
Kama tunakumbuka vizuri, Ripoti ya kwanza ya CAG Assad baada ya kuingia kwa awamu ya 5 pamoja na ubadhirifu mwingine ilionesha ufisadi wa kiasi cha pesa 1.5 Trilioni ambacho hakikuoneka wapi kilienda.

Baada ya ripoti hiyo, CAG alishambuliwa sana na serikali na Chama wakiwemo mawaziri, Spika, makada na wafuasi wa Chama na Rais aliyekuwa Madarakani

Ufisadi huo ulikuwa hata ukijumlisha ufisadi na kashfa za Meremeta, Kagoda, Ununuzi wa Radar, Buzwagi na RICHMOND hazikufika kiasi cha 1.5 T. Na huo ndio ulikuwa mwaka wake wa kwanza tu wa Bajeti.

Ni vile tu vyombo vya habari viliminywa na kutishiwa huku matukio ya watu kutekwa, kupotea yakishamiri bila yeyote kusema au kuwajibika. Kulikuwa na hofu kubwa sana.

Ripoti ile haikupewa nafasi kuwasilishwa kwa Rais wala bungeni haikujadiliwa. Rais hakuwahi kuizungumzia hata kidogo kanakwamba 1.5 T ni kiasi kidogo

Baada ya kelele kuwa nyingi za wapinzani na wananchi kuhusu 1.5 T ziko wapi ndio akaibuka Polepole makao makuu madogo 'akipiga' hesabu kutuonesha ilipo 1.5 T

Misukosuko ilimfuata Prof Assad mpaka kutolewa katika nafasi yake. Kuna kipindi hadi kulizuka tetesi za kutekwa kwake.

Wenye akili tukajua hakukuwa na dhamira ya kweli kupambana na wizi na ufisadi bali ilikuwa ni hadaa na danganya toto huku viongozi wakijinadi kwa Uzalendo.

Sasa leo wale wapenzi na wakereketwa wa mtu mmoja badala ya Taifa mnashangazwa nini na ripoti huru ya CAG wa sasa? Ambayo hazifiki 1.5 T

Kipi kinachowashangaza mpaka mnaleta chuki kwa CAG, spika na hata Rais Samia. Lazima tuelezane ukweli ili tusonge mbele, hizo ndege mlitaka hasara ifike ngapi? Yani hakuna mipango, madeni yanaongezeka tu, ndege haziruki kwenda nje na hasara kila siku bado mnataka tuendelee kisa tu ndio mradi wake pekee huku watumishi hawapandishiwi madaraja na kuongezewa mishahara kwa miaka mitano sasa na wastaafu mlikuwa mkiwazungusha na uhakiki mpaka leo

Si alikuwa akisema msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Sasa kwa nini mnataka CAG asiseme ukweli? Wapinzani wamekuwa wakisema mara kadhaa kuhusu baadhi ya mambo, mkawaita wahaini, wasiopenda nchi yao, wanatumiwa na mabeberu. Tulieni
NDUGAI
 
Kama tunakumbuka vizuri, Ripoti ya kwanza ya CAG Assad baada ya kuingia kwa awamu ya 5 pamoja na ubadhirifu mwingine ilionesha ufisadi wa kiasi cha pesa 1.5 Trilioni ambacho hakikuoneka wapi kilienda.

Baada ya ripoti hiyo, CAG alishambuliwa sana na serikali na Chama wakiwemo mawaziri, Spika, makada na wafuasi wa Chama na Rais aliyekuwa Madarakani

Ufisadi huo ulikuwa hata ukijumlisha ufisadi na kashfa za Meremeta, Kagoda, Ununuzi wa Radar, Buzwagi na RICHMOND hazikufika kiasi cha 1.5 T. Na huo ndio ulikuwa mwaka wake wa kwanza tu wa Bajeti.

Ni vile tu vyombo vya habari viliminywa na kutishiwa huku matukio ya watu kutekwa, kupotea yakishamiri bila yeyote kusema au kuwajibika. Kulikuwa na hofu kubwa sana.

Ripoti ile haikupewa nafasi kuwasilishwa kwa Rais wala bungeni haikujadiliwa. Rais hakuwahi kuizungumzia hata kidogo kanakwamba 1.5 T ni kiasi kidogo

Baada ya kelele kuwa nyingi za wapinzani na wananchi kuhusu 1.5 T ziko wapi ndio akaibuka Polepole makao makuu madogo 'akipiga' hesabu kutuonesha ilipo 1.5 T

Misukosuko ilimfuata Prof Assad mpaka kutolewa katika nafasi yake. Kuna kipindi hadi kulizuka tetesi za kutekwa kwake.

Wenye akili tukajua hakukuwa na dhamira ya kweli kupambana na wizi na ufisadi bali ilikuwa ni hadaa na danganya toto huku viongozi wakijinadi kwa Uzalendo.

Sasa leo wale wapenzi na wakereketwa wa mtu mmoja badala ya Taifa mnashangazwa nini na ripoti huru ya CAG wa sasa? Ambayo hazifiki 1.5 T

Kipi kinachowashangaza mpaka mnaleta chuki kwa CAG, spika na hata Rais Samia. Lazima tuelezane ukweli ili tusonge mbele, hizo ndege mlitaka hasara ifike ngapi? Yani hakuna mipango, madeni yanaongezeka tu, ndege haziruki kwenda nje na hasara kila siku bado mnataka tuendelee kisa tu ndio mradi wake pekee huku watumishi hawapandishiwi madaraja na kuongezewa mishahara kwa miaka mitano sasa na wastaafu mlikuwa mkiwazungusha na uhakiki mpaka leo

Si alikuwa akisema msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Sasa kwa nini mnataka CAG asiseme ukweli? Wapinzani wamekuwa wakisema mara kadhaa kuhusu baadhi ya mambo, mkawaita wahaini, wasiopenda nchi yao, wanatumiwa na mabeberu. Tulieni
Watulie kabisa msumari ipenye palipo wazi
 
Watulie kabisa msumari ipenye palipo wazi
CAG kusema ukweli wanasema anazushiwa, uzuri CAG alimteua yeye na ni mtu wa nyumbani. Kaziremba ripoti za nyuma sasa kawa huru wanalia
 
Na kuwadanganya wasiojielewa kuwa ni Mzalendo
Yeye ndo alikuwa fisadi mkuu ndani ya utawala wake.

Hatujawahi pata rais wa hovyo kama marehemu magufuli, hata historia yake haipaswi kukumbukwa.
 
Bila shaka ndugai alikuwa na hofu
Alikuwa ni mateka wa bilioni 12 za matibabu angeenda kinyume tu kesi ya uhujumu uchumi wa kutumia bilioni 12 matibabu ingemuhusu file lingetua kwa DPP, kumbuka alitaka kwenda kinyume jiwe akagusia la matibabu yake job akarudi kwenye mstari wa jiwe na kumfanyia Kazi nzuri Sana ya kuuwa upinzani ikiwemo kuwafukuza wapinzani bungeni wakitoka nje wanakutana na mkono wa jiwe.Alishiriki kumfuta Lisu ubunge akapewa zawadi ya jina lake kupewa soko la dodoma kama fadhila ya kuwashughulikia wapinzani.Leo hata 40 aijafika wamemgeuka.
 
Alikuwa ni mateka wa bilioni 12 za matibabu angeenda kinyume tu kesi ya uhujumu uchumi wa kutumia bilioni 12 matibabu ingemuhusu file lingetua kwa DPP, kumbuka alitaka kwenda kinyume jiwe akagusia la matibabu yake job akarudi kwenye mstari wa jiwe na kumfanyia Kazi nzuri Sana ya kuuwa upinzani ikiwemo kuwafukuza wapinzani bungeni wakitoka nje wanakutana na mkono wa jiwe.Alishiriki kumfuta Lisu ubunge akapewa zawadi ya jina lake kupewa soko la dodoma kama fadhila ya kuwashughulikia wapinzani.Leo hata 40 aijafika wamemgeuka.
Akapewa na mlinzi wake mmoja akawa naye.
 
Yeye ndo alikuwa fisadi mkuu ndani ya utawala wake.

Hatujawahi pata rais wa hovyo kama marehemu magufuli, hata historia yake haipaswi kukumbukwa.
Kuna waliojitoa ufahamu
 
Kwa matamshi ya bwana ndugu gay jana, nime conglude, wawakilishi pekee na wenye akili ni wabunge wa UPINZANI tu, hasa Chadema na Zitto Kabwe, sisiemu ni janga kubwa mno kwa ustawi wa nchi hi, wanakula pesa za posho za bure tu.
 
KWa matamshi ya bwana ndugu gay jana, nime conglude, wawakilishi pekee na wenye akili ni wabunge wa UPINZANI tu, hasa Chadema na Zitto KAbwe, sisiemu ni janga kubwa mno kwa ustawi wa nchi hi, wanakula pesa za posho za bure tu.
Wapinzani walionesha Uzalendo hasa wale waliobaki na misimamo yao
 
Hatari sana. Baadae akamtupa huko hata ubunge hana
Kama aliweza kuwapa wachekeshaji wakina Babu Tale, Gwajima, Mwana FA n.k unafikiri angetaka kumpa ubunge angeshindwa?
 
Naona CAG hii ndio ripot aliyoipanga mwaka huu ,msitake mtuaminishe kuwa ndani ya wiki moja wachapishe ripot tofauti.
 
Naona CAG hii ndio ripot aliyoipanga mwaka huu ,msitake mtuaminishe kuwa ndani ya wiki moja wachapishe ripot tofauti.
Una maana ipi Mkuu?
 
Back
Top Bottom