Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 29, 2024 Thread starter #21 Castr said: Hakuna kutafuta kisingizio Cheater ni cheater tu. Na mabazazi tukikutana tunajuana. Yaani kuna mwanamke unakutana naye tu unajua huyu ni bazazi mwenzangu Click to expand... mwajuana kwa vilemba sio π
Castr said: Hakuna kutafuta kisingizio Cheater ni cheater tu. Na mabazazi tukikutana tunajuana. Yaani kuna mwanamke unakutana naye tu unajua huyu ni bazazi mwenzangu Click to expand... mwajuana kwa vilemba sio π
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Apr 29, 2024 #22 Tlaatlaah said: tangu mwanzo wa uchumba hadi ndoa yako, mambo yalikua ya amani na furaha sana baina yenu na mahitaji yote muhimu yalitimizwa. Click to expand... https://www.facebook.com/ View: https://www.facebook.com/reel/197723196735663?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Tlaatlaah said: tangu mwanzo wa uchumba hadi ndoa yako, mambo yalikua ya amani na furaha sana baina yenu na mahitaji yote muhimu yalitimizwa. Click to expand... https://www.facebook.com/ View: https://www.facebook.com/reel/197723196735663?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Sasso JF-Expert Member Joined Aug 9, 2023 Posts 530 Reaction score 1,957 Apr 29, 2024 #23 Sina sababu. Ila ni hamu ya kujaribu mali mpya. Haimaanishi kuna kitu nakosa nilipo. So ni hulka. Wanaume wengi tupo hivyo
Sina sababu. Ila ni hamu ya kujaribu mali mpya. Haimaanishi kuna kitu nakosa nilipo. So ni hulka. Wanaume wengi tupo hivyo
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 29, 2024 Thread starter #24 holy spirit said: Mchumba wangu hana kishundu kama kile ilibidi tu. Click to expand... si uliona anakufaa Lakini... unamuonea mchumba wako asie na hatia dah π
holy spirit said: Mchumba wangu hana kishundu kama kile ilibidi tu. Click to expand... si uliona anakufaa Lakini... unamuonea mchumba wako asie na hatia dah π
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 29, 2024 Thread starter #25 Iceberg9 said: Swala la kuchepuka ni hali ya kitabia tu na sio la kimazingira. Click to expand... sio ni mazingira zaid, kuliko tabia kwasabb kuna waliobalehe tu wakajikuta tayari wako kwenye ndoa π
Iceberg9 said: Swala la kuchepuka ni hali ya kitabia tu na sio la kimazingira. Click to expand... sio ni mazingira zaid, kuliko tabia kwasabb kuna waliobalehe tu wakajikuta tayari wako kwenye ndoa π
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 29, 2024 Thread starter #26 Sasso said: Sina sababu. Ila ni hamu ya kujaribu mali mpya. Haimaanishi kuna kitu nakosa nilipo. So ni hulka. Wanaume wengi tupo hivyo Click to expand... dah, kumbe π hua ni wanaume pekee kwani?
Sasso said: Sina sababu. Ila ni hamu ya kujaribu mali mpya. Haimaanishi kuna kitu nakosa nilipo. So ni hulka. Wanaume wengi tupo hivyo Click to expand... dah, kumbe π hua ni wanaume pekee kwani?
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 29, 2024 Thread starter #27 ERoni said: Kupewa kwa kupimiwa, unatafuta shangazi(kwa sisi wazee tuna type zetu) then unatulia.. Click to expand... yaani hushibi au kutosheka na cha hapo nyumbani right? ukiomba uongezewe zaid?π
ERoni said: Kupewa kwa kupimiwa, unatafuta shangazi(kwa sisi wazee tuna type zetu) then unatulia.. Click to expand... yaani hushibi au kutosheka na cha hapo nyumbani right? ukiomba uongezewe zaid?π