Nini kilikufanya ukimbie kazi/kibarua chako cha zamani?

Nini kilikufanya ukimbie kazi/kibarua chako cha zamani?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nilipata kazi baada ya msoto wa miezi kama mitatu hivi lakini hiyo kazi ilikuwa ni saa moja asubuhi hadi saa mbili usiku kila siku kasoro Jumapili, na mshahara ulikuwa ni elf 80.

Hapo nauli pekee ilikuwa elf 10, msosi elf 30, geto nikiongezea bili ni elf 30, mwenye nyumba mpare hataki maneno, niliishi maisha ya kukopa sana aisee!

Nilipata kazi nyingine hii ni kila siku lakini ni saa tatu asubuhi hadi saa 10 jioni, mshahara laki 3, nikasema hapa nimelamba dum.

Mwisho wa mwezi umefika naona kimya, nililipwa tarehe 4 shilingi laki 1, bosi akasema atafidia mwezi ujao atanilipa laki 5, nikasema wacha nivumilie lakini cha ajabu yakawa yale yale, tarehe 31 imefika bado kimya.

Imefika tarehe 2 namkumbusha bosi yeye ananipa elf 70, daah! Bosi mwenyewe mjanja sana ana marafiki zake mapolisi nikaona hapa sina ujanja nikasepa.
 
Niliajiriwa kampuni Fulani wafanyakazi wenzangu wengi walikuwa walevi.

Mm sinywi pombe wakawa wananitenga semina sipati kila kitu wanapendeleana mm wananiona kama kinyaa na kituko kazini.Najiona mpweke baadae pia nikagundua asilimia kubwa wana imani na itikadi zinazofanana mm ni tofauti.

Hivi nunavyoandika nataka niache kazi nikalime kijijini
 
Niliajiriwa kampuni Fulani wafanyakazi wenzangu wengi walikuwa walevi.

Mm sinywi pombe wakawa wananitenga semina sipati kila kitu wanapendeleana mm wananiona kama kinyaa na kituko kazini.Najiona mpweke baadae pia nikagundua asilimia kubwa wana imani na itikadi zinazofanana mm ni tofauti.

Hivi nunavyoandika nataka niache kazi nikalime kijijini
sijawai ona watu wenye umoja kama walevi aisee...

pole kwa hali hii, omba uhamisho
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Pole sana wengine tunalipwa milioni kadhaa ila hazitoshi na hatuna familia.
Nilipata kazi baada ya msoto wa miezi kama mitatu hivi lakini hiyo kazi ilikuwa ni saa moja asubuhi hadi saa mbili usiku kila siku kasoro Jumapili, na mshahara ulikuwa ni elf 80.

Hapo nauli pekee ilikuwa elf 10, msosi elf 30, geto nikiongezea bili ni elf 30, mwenye nyumba mpare hataki maneno, niliishi maisha ya kukopa sana aisee!

Nilipata kazi nyingine hii ni kila siku lakini ni saa tatu asubuhi hadi saa 10 jioni, mshahara laki 3, nikasema hapa nimelamba dum.

Mwisho wa mwezi umefika naona kimya, nililipwa tarehe 4 shilingi laki 1, bosi akasema atafidia mwezi ujao atanilipa laki 5, nikasema wacha nivumilie lakini cha ajabu yakawa yale yale, tarehe 31 imefika bado kimya.

Imefika tarehe 2 namkumbusha bosi yeye ananipa elf 70, daah! Bosi mwenyewe mjanja sana ana marafiki zake mapolisi nikaona hapa sina ujanja nikasepa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss alishusha malipo kutoka 15.000

Mpaka 3,500

Nikaondoka kimya kimya na kampuni ikafa
 
Back
Top Bottom