Mimi naona jamaa alichanganyikiwa kipindi kile tungesema jamaa alikuwa anona nyota nyota baada ya kukigonga kichwa cha Gyan.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna goli moja aliwahi kufunga mshambuliaji wa Ghana, Asamoah Gyan katika Kombe la Dunia 2010 katika mechi ya Ghana vs USA.
Wakati Gyan anaelekea kufunga aligongana na beki wa USA, Carlos Bocanegra (jersey # 3) ambaye alionekana kupoteza uelekeo huku akiangaza juu, halafu Gyan akapata fursa ya kufunga. Hili tukio sijawahi kulielewa. Huwa nawaza labda Gyan alikuwa yuko full nondo kwa yale mambo yetu ya Kiafrika, mzungu alivyomgonga akagusa kitu kizito akapoteana.