Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kilimkwamisha ni wazee wachawi unaona wamevaa nguo kikaoni ila .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakufa Kama Magufuli Niko paleHii kali! Rais anatishwa na kuogopa?? Pathetic
Kipengele kilichokwamisha katiba mpya ni Cha serikali tatuKwa faida yako nitakuambia leo kwa nini Rasimu ya Katiba ya Warioba ilitupwa. Kulikuwa na kifungu cha Marais kuwajibika kwa makosa yao watakayokuwa wamefanya wakiwa madarakani. Sasa Jakaya aliruhusu na alipokea fedha za Escrow kutoka kwa Harbinder Singh/ Rugemalira.
Wakati huo huo Andrew Chenge naye akiwa ni mnufaika wa Escrow kutoka kwa Rugemalira. Ndipo akamtonya Jakaya kuwa kama Rasimu ya Warioba itapita basi hicho kifungu cha Marais kuwajibika kwa makosa waliyofanya, basi ajiandaye kushtakiwa na kufungwa.
Jiulize kwa nini Dr Mvungi aliuliwa utapata majibu ya kwa nini mchakato ulikwama.
Ndipo Jakaya Kikwete akaelewa na kuamua kuuvuruga mchakato wa Katiba kwa kuogopa kuja kushtakiwa
Mazee ya ccm yanayonufaika na mfumo wa kifisadi ndio yalizuia katiba mpya
Kikwete alipewa maelekezo kuacha kuendelea na mchakato Hana kosa lolote yule mzee lasivyo wangekuwa washa murestisha in peace ndio maana akawaachia nchi yenu!!
Shida kubwa ninayoiona ni CCM kutokuwa chama Cha siasa na kujigeuza dola
Hii nchi haitakaa ipate maendeleo chini ya Hawa nzi wa kijani!!
Sasa si agombee tena mwakani ili arekebishe alikojikwaa?Alipoteza opportunity na naamini anaijutia hata kama hasemi!
Vijana ndiyo wanaotakiwa kuleta mabadiliko. Kwa bahati mbaya nimeshapita kwenye huo umri kitambo.Mkuu, kwa hiyo baada ya hapo ukakunja mikono yako mgongoni na kubaki kuwakodolea tu macho ya uzodoaji?
Uwezo ndipo ulipoishia? Hakuna lingine zaidi la kufanya ili kulinusuru taifa, zaidi tu ya kujilalamisha kibodini?
Although ni maamuzi yake kama Trump alivyofanya lakini kawaida opportunity kubwa namna hii haziji twiceSasa si agombee tena mwakani ili arekebishe alikojikwaa?
Aliendekeza ushkaji badala ya uzalendoKama katiba pendekezwa ya Jaji Joseph Warioba ingepitishwa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete angeingia kwenye historia ya kuiletea Tanzania katiba ya kimageuzi!
Kama hiyo katiba ingepita, ingemweka Kikwete kwenye nafasi ya kukumbukwa na vizazi vingi kama "mwanamageuzi" nchini. Ilibaki kidogo tu aipate hiyo heshima!
Nini kiliingilia huo mchakato na kupelekea Kikwete kuponyokwa na hiyo heshima?
Rais ambaye angeweza kuipatia nchi katiba mpya na bora na ya haki ni JPM TU na sababu zipo wazi kwa wenye akili ...rais anaye fanya vizuri na kukubalika sana na watu ni.rahisi kwa huyo rais kuleta katiba mpya kuliko yule ambaye akubaliki kwa sababu asiye kubalika ana kuwa na hofu wa hiyo katiba inaweza kumwaribuKama katiba pendekezwa ya Jaji Joseph Warioba ingepitishwa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete angeingia kwenye historia ya kuiletea Tanzania katiba ya kimageuzi!
Kama hiyo katiba ingepita, ingemweka Kikwete kwenye nafasi ya kukumbukwa na vizazi vingi kama "mwanamageuzi" nchini. Ilibaki kidogo tu aipate hiyo heshima!
Nini kiliingilia huo mchakato na kupelekea Kikwete kuponyokwa na hiyo heshima?
Muulize Samia anaendeajeHii kali! Rais anatishwa na kuogopa?? Pathetic
ChengeWewe maneno hayo kakwambia nani Kikwete au Chenge?
Hakika, ukweli mtupuUKAWA, CCM na JK wataisikia tu mbingu kwa wengine. Ubinafsi wao umetuondolea wananchi nafasi adimu sana ya kuwa na Katiba bora kabisa ya Wananchi.