Nini kilimnyima Kikwete heshima ya kuipatia Tanzania katiba bora?

Kipengele kilichokwamisha katiba mpya ni Cha serikali tatu

Hicho ulichokizungumza kilitakiwa kiwekwe kipengele za kuanzia 2015
 

Yaani amiri jeshi mkuu atishwe na waimba Iyena Iyena?
Basi alikuwa rais dhaifu.

Kiufupi alikuwa na rasimu yake ya mfukoni
 
Ndio democrasia,CHADEMA waligomea.
ila kwa sasa hawa goma goma tumeshawaona akili yao,hatutokubali kuwasikiliza
 
Mkuu, kwa hiyo baada ya hapo ukakunja mikono yako mgongoni na kubaki kuwakodolea tu macho ya uzodoaji?

Uwezo ndipo ulipoishia? Hakuna lingine zaidi la kufanya ili kulinusuru taifa, zaidi tu ya kujilalamisha kibodini?
Vijana ndiyo wanaotakiwa kuleta mabadiliko. Kwa bahati mbaya nimeshapita kwenye huo umri kitambo.
 
Aliendekeza ushkaji badala ya uzalendo
 
Rais ambaye angeweza kuipatia nchi katiba mpya na bora na ya haki ni JPM TU na sababu zipo wazi kwa wenye akili ...rais anaye fanya vizuri na kukubalika sana na watu ni.rahisi kwa huyo rais kuleta katiba mpya kuliko yule ambaye akubaliki kwa sababu asiye kubalika ana kuwa na hofu wa hiyo katiba inaweza kumwaribu
 
Angetoa katiba, maana yake alikkuwa anakubali CCM iondoke madarakani. Hata yeye asingeweza kuhimili maisha bila CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…