Nini kilipelekea kupanda ghafla kwa bei ya korosho mwaka jana. Je, Serikali ilihusika kwa namna yoyote kupanda kwa bei?

yameshatoea sasa ungefanya nini kama wewe ndo uko kwenye position?? au ndo ungetulia na kusema miaka ya nyuma haijawahi kutokea. Acheni ushabiki katika mambo yanayohusu TAIFA bwana
Atafanya siku akiwa kwenye position kama rais,mbona unaforce future iwe present umevimbiwa mbaazi na dengu!???
 

Umeandika vyema sana ndugu yangu,umetoa mawazo ambayo yanajenga - Thanks
 
Suala la korosho sio ishu ya muda mfupi, hata tume kwa sasa sio jambo litakalompa pesa mkulima kwa wakati.
Kwa hali ya msimu huu 'kimeo' jambo ambalo lingefanyika ni kuangalia kwa pamoja na kuwasikiliza wanunuzi hoja zao, inawezekana ni za msingi na kama kuna shida basi hiyo bei ya 2750 wanunue korosho zote na sio nusu.TUKUMBUKE MKULIMA AMEKOPA NGUVUKAZI NA PEMBEJEO NA ANADAIWA NA MUDA NDIO HUU. Tuache masihara katika kilimo biashara, hiyo mizunguko ya kutafuta soko LEO tunaweza zalisha tatizo lingine.
 
Bei ya korosho inamualiwa na nini?
 
Ndio maana tawala za kidemokrasia Kwa nchi maskini hazifai, bora kutumia nguvu na imla ilimradi kwa manufaa ya Taifa, hata ukigawa Lita tano za maziwa na maji bure yapo majitu yatapinga tu, nakumbuka sana mijadala bungeni wakati wa Kikwete licha ya kuwaalika Ikulu na kuwapa chai ili maslahi ya nchi yajadiliwe aliishia kutukanwa na kukebehiwa. Kwa ufupi hakuna jema duniani, Fanya unaloona lina manufaa kwa nchi yako Basi. Mwalimu akiwa Rais alisemwa haambiliki mpaka akanusurika kupinduliwa mara kadhaa, licha ya kujitolea kwa nchi yake mpaka kutojali maendeleo ya watoto wake wa kuzaa, alipostaafu wakageuka, na kumsifu sana hasa baada ya kufa
yameshatoea sasa ungefanya nini kama wewe ndo uko kwenye position?? au ndo ungetulia na kusema miaka ya nyuma haijawahi kutokea. Acheni ushabiki katika mambo yanayohusu TAIFA bwana
 
Una kaliba moja na huyo aliyekutuma.

Mwambie kuwa hatateka wote wala kuua wote.
 
Wakulima warudishiwe pesa zao za EXPORT LEVY halafu uandaliwe mpango wa FAO LA BEI. Lastly, bei ya korosho iachwe iamuliwe na SOKO !
Sasa export levy ni za wakulima??
 
Wakienda one step ahead mengi yatakuwa wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…