King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Miaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
Miye ni CCM damu,nishasimamia chaguzi nyingi, CHADEMA wanakosa nguvu ya umma tu yakupigania na kulinda ushindi waoMiaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
Nafikiri ni mtizamo wako Tu na wapi unalenga. Hiyo inategemea ni mkutano gani. Hivyo tusijifariji kwamba hawana watu. Noooo! Ukiitosha Free na fair election tutaelewa. Mfano. Kwa sasa wanafanya almost mikutano 5 kwa siku. Ule wamwisho ndiobhuwa mkubwa ambao hufanyika jioni. Hii yakatibinafanyika kwenye kata/vijiji visivyo na hamasa au watu no wachache. Hata hivyo huwa wamefanikiwa. Angalia mkutano WA jioni ambao hufanyika kwenye mji mkubwa/Makao Makuu ya Wilaya au Mkoa, angalia nyomi yake ndipo utajua.Miaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
Mtoa mada, sababu nyingine ni hii hapa. Soma jibu la huyu nyumbu utanielewa ninachokisema........kama mtu mzima lakini!Ulifanya kosa na nani??huo ndo unafiki.ungeleta wewe wabunge 70+ bila lowasa??
Ambaye sasa hivi Tundu Lissu anamsema kuwa ataenda kaburini kwake amuambie Samia kaharibu nchi, hapo ndipo nilipoona hawa wapinzani hawana sincerity yoyote, na ndio maana wananchi wanawadharauNi nadharia mfu hizo.aliyetuwekea misingi ya upendo na kuruhusu siasa safi ni kikwete.yule mwizi wa kura na kununua/kupiga risasi wapinzani ndo aliharibu.wasiojulikana,kesi Kwa wapinzani etc etc etc.unategemea tena upinzani uwe na nguvu??
Haina mbunge hata mmoja bungeni, diwani wala mwenyekiti wa serikali ya mtaa.Huyu anayesema Chadema haina mvuto simuelewi kabisaa ...
Chadema haina mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Mbowe lumumba wote wanaanza kuhangaika kuitungia majibu ya uongo..
Hawana mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Lissu lumumba wanaanza kulia Lissu hana shukrani, eti kwasababu alipelekewa juice na Samia akiwa hospitali?
Chadema haina mvuto vipi, ikiwa kipindi cha Heche kuuchambua ule mkataba wa hovyo wa bandari kilizuiwa kurushwa hewani?
Sikilizeni nyie, mmeshakuwa watu wazima sasa, hebu wacheni kuishi kwa kujidanganya kama watoto wadogo.
Mimi nilikuwa chadema damu damu sana ndugu yangu; rudia posts zangu zote kabla ya 2015 zilizoko hapa upate ukweli huo. Mwaka 2015 ndipo Chadmea ilijitoa ufahamu na kutupozea wafuasi wengi sana. Baada ya Lowassa kupewa begi la kugombea urais kupitia CHADEMA iliniliazimisha kumpima Lowasssa na Magufuli na kugundua kuwa Magufuli alikuwa bo lakini huo ndio ulikuwa mwanzora sana kuliko Loawassa. Inawezekana Chadema ingekuwa na mgombea tofauti ningekuwa na mtizamo tofauti pia. Chama kutokuwa principled ni tatizo kubwa sana ndani ya ChademaNafikiri ni mtizamo wako Tu na wapi unalenga. Hiyo inategemea ni mkutano gani. Hivyo tusijifariji kwamba hawana watu. Noooo! Ukiitosha Free na fair election tutaelewa. Mfano. Kwa sasa wanafanya almost mikutano 5 kwa siku. Ule wamwisho ndiobhuwa mkubwa ambao hufanyika jioni. Hii yakatibinafanyika kwenye kata/vijiji visivyo na hamasa au watu no wachache. Hata hivyo huwa wamefanikiwa. Angalia mkutano WA jioni ambao hufanyika kwenye mji mkubwa/Makao Makuu ya Wilaya au Mkoa, angalia nyomi yake ndipo utajua.
Hayo yote mliyosema kama walipokosea lkn bado kimezidi kukua Sana ukiacha maeneo machache yenye ACT/CUF misimamo.
Hapo hawajatumia zile mbinu zetu za kubeba watu na malori na vitisho kata nzima au Wilaya yote ili mkutano ujao pamoja na kina Harmonize na wasani wengine.
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Siyo kweli. Picha hizi zilitokea kabla ya utawala wa Magufuli lakini CHADEMA ilikuwa na nguvu sanaMkuu ni kweli umesahau kipindi walichopitia Chadema chini ya "MKONO WA CHUMA"? Watu wamepigwa risasi ,wametupwa kwenye viroba ,wamefungwa ,wamekatazwa kufanya siasa ,biashara ya utumwa(watu walikuwa wananunuliwa) ,wamefilisiwa etc
Wewe utakuwa unafuatilia habari za Chadema kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe,Raia Mwema........Umeshindwa kujua magazeti yote yamenunuliwa na DP World.Njoo site utabaina mwendo ni mdundo Lumumba wanakanyagana.Kuwa mkweli!
Huku ndio kukosa principle sasaMimi nilikuwa chadema damu damu sana ndugu yangu; rudia posts zangu zote kabla ya 2015 zilizoko hapa upate ukweli huo. Mwaka 2015 ndipo Chadmea ilijitoa ufahamu na kutupozea wafuasi wengi sana. Baada ya Lowassa kupewa begi la kugombea urais kupitia CHADEMA iliniliazimisha kumpima Lowasssa na Magufuli na kugundua kuwa Magufuli alikuwa bo lakini huo ndio ulikuwa mwanzora sana kuliko Loawassa. Inawezekana Chadema ingekuwa na mgombea tofauti ningekuwa na mtizamo tofauti pia. Chama kutokuwa principled ni tatizo kubwa sana ndani ya Chadema
Chadema imekosa mvuto kwa sababu ya mambo matatu 1 tamaa ya pesa wao wakioneshwa pesa wanasaliti mashabiki wao walifanya hivyo kwa lowassa wakarudia ilo kwa mama Samia alipowaita ikulu
2, kutetea ufisadi wakati walijijenga kama wapinga ufisadi baadae tukaona wanatetea wezi wa escrow wakawa watetezi wa barrick gold mtu akikamatwa kwa ufisadi wanasema anaonenwa sasa wananchi wanaona wanagutuka
3 ukabila na udini wamejidhiilisha kama chama cha watu wa kaskazini utaona mtu kama lema ana nguvu kubwa kwenye chama kuliko salim mwalim ambae ni vice chairman hiyo inatokana yeye ni mchaga ukiwa mchaga pale ni kama chama cha nyumbani unakuwa na nguvu na unasikilizwa ona mktutano wao wa juzi wamejaa maaskofu na wachingaji hakuna shekh ata mmoja
Chadema ni finished political party wamebakiza matusi watu wameichoka ccm ila hawaon chadema kama ni mbadala bado wannamin mkombozi wao atatokea mule mule ccm km ilivyokuwa magufuli
View attachment 2704417
Ona mktutano wa lissu huu ndio uhalisia wakiwa jamiifurm na twitter unaweza sema wana watu kumbe umu wanajiongelesha na kujifariji
Hivi ndivyo unavyotamani iwe, lakini uhalisia ni tofauti kabisa na haya matamanio yako. Kama kuna chama kitaitoa madarakani ccm, basi hicho sio kingine bali ni cdm. Jinamizi hili linaisumbua sana ccm, ndio maana unaona ccm inazidi kujikita kwenye vyombo vya dola, maana hiyo ndio pumzi yake pekee ya kubaki madarakani kwa shuruti.Upinzani huwa hauletwi na chama kilichoko madarakani na wala chma hicho huwa hakishirikiani na upinzani wowoete. Wakati wa Kikwete kulikuwa na kashfa nyingi sana kuanzia na Richmond wakati CHADEMA ilikuwa msitali wa mbele sana kuziweka kashfa hizo hadaharani kwa vielelezo. Magufuli alichukiwa na CHADEMA kwa sababu ya kufuta maovu yote ya Kikwete ambayo ndiyo iliyokuwa kete yao kuu wakati huo. Walishindwa kutafuta njia mbadala wa ushindani wakitaka kuendelea kuegemea lawama kwa CCM ya Kitwete ambazo hazikuwapo tena.
Siyo kweli. Picha hizi zilitokea kabla ya utawala wa Magufuli lakini CHADEMA ilikuwa na nguvu sana
View attachment 2704526
View attachment 2704528
Punguza makasiriko mkuu, sisasa haitaki hasira...π€£Ulifanya kosa na nani??huo ndo unafiki.ungeleta wewe wabunge 70+ bila lowasa??
To be honest Mimi Mbowe simwamini kbs, chadema ingebadilisha mwenyekitiHuyu anayesema Chadema haina mvuto simuelewi kabisaa ...
Chadema haina mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Mbowe lumumba wote wanaanza kuhangaika kuitungia majibu ya uongo..
Hawana mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Lissu lumumba wanaanza kulia Lissu hana shukrani, eti kwasababu alipelekewa juice na Samia akiwa hospitali?
Chadema haina mvuto vipi, ikiwa kipindi cha Heche kuuchambua ule mkataba wa hovyo wa bandari kilizuiwa kurushwa hewani?
Sikilizeni nyie, mmeshakuwa watu wazima sasa, hebu wacheni kuishi kwa kujidanganya kama watoto wadogo.
Miaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
Inavutia na itakuwa na mvuto kuliko, chama lolote chini ya jua na itabakikuwa hivyo ,asiyekubali yeye ni mshambaππππππππMiaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?