Nini kilisababisha mpaka Nyosso akamdhalilisha John Bocco?

Nini kilisababisha mpaka Nyosso akamdhalilisha John Bocco?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Nyosoo alikutwa na masahibu gani? Mpaka akamfanyia mwenzake vitendo viovu kiasi ile?
 
Nyosoo alikutwa na masahibu gani? Mpaka akamfanyia mwenzake vitendo viovu kiasi ile?
1647262352023.png
 
Wachezaji walioachwa na timu fulani mara nyingi huwa na wivu dhidi ya wachezaji waliopo timu hiyo kwa sasa, hasa kama timu hiyo ipo juu kimaslahi kuliko walikoenda. Sasa ikitokea kama mchezaji wa hivyo akawa hana uvumilivu na uungwana, basi atacheza kwa hasira na hata kufanya vitendo visivyo vya kiuanamichezo

Juzi hapa ilitokea pia, Abdi Banda wa Mtibwa kumtolea maneno ya kebehi Inonga Baka wa Simba. Kikubwa huwa ni wivu tu na inferiority complex
 
Wachezaji walioachwa na timu fulani mara nyingi huwa na wivu dhidi ya wachezaji waliopo timu hiyo kwa sasa, hasa kama timu hiyo ipo juu kimaslahi kuliko walikoenda. Sasa ikitokea kama mchezaji wa hivyo akawa hana uvumilivu na uungwana, basi atacheza kwa hasira na hata kufanya vitendo visivyo vya kiuanamichezo

Juzi hapa ilitokea pia, Abdi Banda wa Mtibwa kumtolea maneno ya kebehi Inonga Baka wa Simba. Kikubwa huwa ni wivu tu na inferiority complex
Naunga mkono
 
Ni vitendo vya kihuni ambavyo vipo kila siku kwenye mchezo wa mpira wa miguu miaka mingi sana lakini kwa kuwa ya Nyoso kwa Boko ilirekodiwa na Azam TV ndio maana ikawa maarufu sana. Mara nyingi mabeki hufanya vile kuwatoa mchezoni washambuliaji hatari. Na kinachofuata ni mshambuliaji kukasirika baada ya kudhalilishwa. Wengine hutoka mchezoni kabisa wengine huamua kulipiza kwa kwenda kumpiga beki matokeo ya ni kutolewa nje na hivyo faida hubaki kwa beki aliyefanya udhalilishaji. Kumbuka mara nyingi mabeki wengi hufanya hivyo wakati wa purukushani kama kona au faulu inapopigwa hivyo wao mara nyingi hawaonekani anayekuja kuonekana ni mshambuliaji wakati analipiza na ndio hapo anapokula kadi ya njano au nyekundu kabisa.
 
Back
Top Bottom