Nini kilisababisha ukaacha kuvuta bangi?

Nini kilisababisha ukaacha kuvuta bangi?

Mimi niliacha ilikuwa hainiletei kitu chochote ila nikilala usiku nawaza kuamka nikatoka hadi nje sijielew then nikiwa nje ndo nashtuka sasa hapa naenda wap pia kuna mida iliniletea hofu sana kama kuna kitu kibaya kitanitokea au nitapagawa hivyo nikaona muda wakuacha umefika
 
Mimi niliacha ilikuwa hainiletei kitu chochote ila nikilala usiku nawaza kuamka nikatoka hadi nje sijielew then nikiwa nje ndo nashtuka sasa hapa naenda wap pia kuna mida iliniletea hofu sana kama kuna kitu kibaya kitanitokea au nitapagawa hivyo nikaona muda wakuacha umefika
Hiyo inatokana na zile story kwamba inatia uchizi ndo mana ukawa na hofu yani unavyoifkiria ndio inavyokupeleka
 
Umenifunza mengi sana hapa mimi -


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakuu poleni na korona, sina mengi nataka tupeane mastory kwa wale tulowahi kutumia mmea, ndumu,kuku moshi,ganja na majina kibao siwezi kuyamaliza ili tupoteze haya mawazo ya korona.

Mimi naanza na sababu zilonifanya nikaacha na nikaweza kukaa kwa muda mrefu miaka mingi tu japo siku hizi nastua mara moja moja maana nisingeacha mpaka leo ningekuwa sijaoa.

Okey twende
1)nikivuta bangi nilikuwa nawaza mambo mengi sana mfano naweza nikamuwaza ndugu fulani au rafiki yani mwanzo tangu tumejuana yani inakuja kama movie yote tulopitia mimi nayeye na makosa yote ambayo mimi nilikuwa nayafanya ambayo mimi nilikuwa naona ni kawaida hapa ndio naona makosa na kujilaumu kwa nini nilifanya vile ,hii ilisababisha kumuonea aibu muhusika.

2)nilikuwa napenda kukaa peke yangu,niktoka mskani natamani nisikutane na mtu yeyote mpaka nafika chumbani kwangu hii ilitokana na macho yangu nikitoka kula kitu yalikuwa yanakuwa mekundu sana halafu kama yamevimba kwaiyo watu huwa walonizoea wananiuliza mbona mcho yako mekundu sana? wenyewe tuliita jicho nyanya,ukiacha macho sikuwa napenda story na watu hata kama sijala kitu ila nikivta nazidisha mpaka kumkwepa mtu nikimuona mbele yangu tusikutane.

3)nilikuwa sipendi wanawake niliwahi kukaa mwaka mzima bila kula mzigo halafu nilikuwa napendwa sana na ma dem, pamoja na kuonesha hisia zote za kunitaka lakin mimi sikuwa tayar yani kama ningeamua ilikuwa demu simtongozi na namwambia njoo sehem fulani na akija lazima nimle lakin kutokana na ndumu niliwaaacha kma walivyo mpaka wenyewe wakawa wanakata tamaa na mimi sikujali kabisa na walikuwa visu balaa dah yani mpaka sasa najilaumu yani flani sijamla?

4)hii naona ni faida ilikuwa kila siku lazima nifanye mazoezi ya kukimbia na kubeba vyuma yani kila siku ya mungu tena asubuhi na jioni ila kutokana na lishe ya kwaida sikuwa mbavu na hii ilisabishwa na kukimbia kila siku asikwambie mtu hakuna zoezi zuri kwa ajili ya mwili kama kukimbia mengine mbwembe tu kama una kitambi we kimbia kila siku utanipa majibu hata kama hakijaisha unakuwa mwepesi balaa.

5)nilikuwa siwezi kuongopa hii mpaka Leo imeniathiri japo siku hizi naongopa kwa mambo yaliyokuwa na umuhim zamani hata kama kuna jambo natakiwa niongope ili mambo yangu yaende mimi nasema kweli, hii ilisababisha baadhi ya ndugu na marafiki kunichukia na kuniita mnafiki mgombanishi kwasabu jambo ambalo mimi nilikuwepo basi siwezi kudanganya hii ilisababisha ndoa ya dada yangu kuvunjika kwasabu ya kutokuwa mwaminifu na mimi ndo siwezi kuongopa,hii story nyingine ntawachosha.

6)kuchukulia poa mambo ya umuhim,yani naweza kupewa mchongo lakin mimi nakuwa nachukilia poa naweza kusema ntaenda kesho hiyo kesho ikifika nikikakaa maskani nikila kitu basi naishia hapohapo hata kama nilishajiandaa siendi na baki kuvuta bangi tuu mpaka jion, na kesho yake hivyo hivyo labda nisile kitu nitoke moja kwa moja stand,hii ilisababisha kuchelewa kujitegemea manake fursa zilikuwa zinanipita.

6)nilikuwa naamini katika jambo moja mfano nilikuwa napenda kuimba kwahiyo juhud zangu nyingi niliziweka katika mziki tofaut na sasa naweza kufatilia mambo hata ma 4 kwa wakati mmoja litakalotiki ndo hilohilo lakin ndum ni jambo moja ukimaliza ndo nianze lingine hii ndoto ilikufa na kukatishwa tamaa na producer alochukua beat yangu pamoja na melody akawapa wasanii wakubwa tip top mimi akawa ananizungusha mpaka ikafika miezi 6 ananiambia bado anafanya remix ila simlaum sana nakumbuka aliniambia tufanye ngoma nyingine mi na bangi zangu nikamwambia nataka nyimbo yangu ileile na matusi juu,

jamaa akavurunda kisha akanipa nakumbuka siku ya kwanza alinipa empty cd, akakaa tena kama week mbili ndo aknipa lakin hakufanya remix,ngoma ya hao jamaa mpaka leo inapigwa .

nikaachana na mziki nikaacha na bangi na sasa nina family maisha yanasonga sikuweka yote mengime nimeacha kama kuna cha kujifunza chukua kama hakuna acha.

ila bangi sio mbaya kama tumavyoaminishwa kila mtu inampeleksha jinsi yeye anvyovikiria au kichwa chake mfano watu ambao nilokuwa nakula nao kaya hawana sababu nilozitaja hapo kuna mwamnangu mmoja yeye akila kaya anatongoza sana na anawagonga madem.na mchangamfu kwa kila mtu .mwingine anawaza sana biashara yake mpaka sasa ana duka kubwa sana....... na bado yupo kwenye chama.

Lete za kwako tujifunze na mimi nikumbuke vituko vingine ili vijana ambao hawatumii hii kitu wakiingia basi wajue wanaingia kwa sababu zipi au wasiingie kabisa.

Ushauri kama hujawahi kuvuta bangi achana nayo, kuna wengine wanavuta ili waonekane wahuni hawa ni wapumbavu usiingie huko.
View attachment 1427015
Yani kila uli
Mimi niliacha ilikuwa hainiletei kitu chochote ila nikilala usiku nawaza kuamka nikatoka hadi nje sijielew then nikiwa nje ndo nashtuka sasa hapa naenda wap pia kuna mida iliniletea hofu sana kama kuna kitu kibaya kitanitokea au nitapagawa hivyo nikaona muda wakuacha umefika
Nilikua najiona kama nabii mwenye kupewa maono, kujitenga, kuwa mtu wa dini sana, kukataa madem, kurizika na maisha na mngn mengi alhamdulillah saiv nimeacha na staman kurudi tena kwenye weed japo ilikua ikinipa condidence ata ya kuongea na rais
 
Back
Top Bottom