Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
MsaeAbood, dar express, ngorika ndiyo mabasi ninayoyakumbuka yamedumu kwenye game 30+ yrs. Hood naona kama anapotea, kampuni nyingine zilibadilishwa majina na watoto baada ya wazazi kufariki au kuchoka, mfano BM kulikuwa na basi linaitwa makundi(early 90s) dar Moro.
(Mswahili pekee enzi hizo), Kilimanjaro express ni mtoto wa sawaya express enzi hizo. Akina Osaka ni watoto wa ngorika. Kusini sina kumbukumbu kama kina matema beach, kiswele, nk waliacha legacy.