Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
sio tikila ni TEQUILATumeamia kwenye tikila shots
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio tikila ni TEQUILATumeamia kwenye tikila shots
Tatizo hawataki kuboresha kiwa na viwango bora. Beer zetu zinachosha na ukinywa mara kadhaa mtu anapata Hangover kali na maumiv ya kichwaPendeni bidhaa zenu
Najua apo nimeandika kwajinsi inavyotamkwasio tikila ni TEQUILA
Daa poleni sana, halafu kuna wataalamu kibao waliomaliza vyuo wanashindwa kutengeneza beer nzuriTatizo hawataki kuboresha kiwa na viwango bora. Beer zetu zinachosha na ukinywa mara kadhaa mtu anapata Hangover kali na maumiv ya kichwa
Mkuu niko tbt sijajua uko tbt ipi lakini hapa Kisukulu hakuna, na ambapo zipo ni chache bei Tsh 5k
Njoo Temeke zimejaa teleWanabodi,
Nini kimetokea hadi kufanya beer aina ya windhok na Heinken kupotea sokoni?
Nimepita maeneo tofaut tofauti, wanalalamika beer hakuna! Hii inapelekea bei yake kuwa juu tofauti na uhalisia.
Shida ni nini?
Walevi mkuje huku mlevi mwenzenu anawaita.Wanabodi,
Nini kimetokea hadi kufanya beer aina ya windhok na Heinken kupotea sokoni?
Nimepita maeneo tofaut tofauti, wanalalamika beer hakuna! Hii inapelekea bei yake kuwa juu tofauti na uhalisia.
Shida ni nini?
Bei juu mnooBeii juu
Kiongozi, tuambie ulipo ni wapi na zinauzwa bei ganiMbona zipo nyingi TU,
Wee utakua mkoani Sana au[emoji848]
watu saiz wanaishi na ngumu
Maeneo nayofika ninayoishi au kutembele nimekutana na uhaba.Njoo Temeke zimejaa tele
Dah! basi nilipo wauzaji watakuwa na mgomo baridiLabda wanataka kupandisha bei
Ila nipo hapa the great napasha na Heineken
Sent using Jamii Forums mobile app