Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Sawa. Ila utopolo mkumbuke kuwa MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI.Maneno hata kwenye Kanga yapo yan!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Ila utopolo mkumbuke kuwa MWENDA TEZI NA OMO MAREJEO NGAMANI.Maneno hata kwenye Kanga yapo yan!
Wacha nongwa wewe huwezi pima ubora wa mtibwa kwa simba buanaNmekuwa mpenzi na shabiki wa Mtibwa miaka 4 iliyopita, Enzi za akina Mzamiru, Mtibwa inapiga soka safi na pia kuibua vipaji bora kabisa.
Ila nmefuatilia takriban mechi 10 zilizopita, Mtibwa si ile nnayoifahamu, wachezaji hawajitumi na pia wengi siyo type ya Mtibwa nnayoifahamu, wanacheza kama timu ya daraja la kwanza.
Kwa hichi kiwango wanachoonyesha nasikitika kusema kuwa Mtibwa bye bye ligi kuu!
Endelea kuota!Timu ambazo Simba SC inaweza kucheza nazo fainali ya Klabu Bingwa Dunia mwaka huu
1.Man City
2.Chelsea
3.Real Madrid
4.PSG"
Upande wa 2 wamepiga BOMU mochwari, wanajisifu wameua[emoji42][emoji42]