Nini kimeikumba Mtibwa Sugar!

Wacha nongwa wewe huwezi pima ubora wa mtibwa kwa simba buana
 
Timu ambazo Simba SC inaweza kucheza nazo fainali ya Klabu Bingwa Dunia mwaka huu
1.Man City
2.Chelsea
3.Real Madrid
4.PSG"
 
Yanga siyo timu ni mkusanyiko wa watu wanaocheza mpira na wakifika uwanjani kila mtu anacheza anavyojua yeye.
 
Tutaendelea kupiga mabomu mochwari hadi mwezi mei wote.Naona mochwari moja iko juu ya msimamo kwa sasa ila hawana furaha kabisa na baridi ya mochwari
Upande wa 2 wamepiga BOMU mochwari, wanajisifu wameua[emoji42][emoji42]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…