Nini kimeikumba Sinza, siku zote ilikuwa weekend?

Nini kimeikumba Sinza, siku zote ilikuwa weekend?

bugzbunny

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
839
Reaction score
755
Katika kuijua sehemu hii ya Sinza kwa zaidi ya miaka 10, leo nimeshangaa sana. Hivi sehemu huwa haina cha weekend wala jumatatu wala Juma ngapi.

Huwa bar na bata ni kila siku. Lakini cha kushangaza leo nipo Sinza, na kweli kumekaa kama siku ya kazi, watu hawaonekani, vijiwe vitupu, madalali kelele sisikii, kunanani? Nini kimeikumba Sinza? Si kawaida kabisa.
 
Katika kuijua sehemu hii ya Sinza kwa zaidi ya miaka 10, leo nimeshangaa sana. Hivi sehemu huwa haina cha weekend wala jumatatu wala Juma ngapi.

Huwa bar na bata ni kila siku. Lakini cha kushangaza leo nipo Sinza, na kweli kumekaa kama siku ya kazi, watu hawaonekani, vijiwe vitupu, madalali kelele sisikii, kunanani? Nini kimeikumba Sinza? Si kawaida kabisa.

Kielelezo cha maisha ya kishetani wanayoanza kuishi watanzania, sio matajiri tu hata walala hoi pia!
 
Kielelezo cha maisha ya kishetani wanayoanza kuishi watanzania, sio matajiri tu hata walala hoi pia!

Tatizo letu kubwa ni kusahau TULIPOJIKWAA na kukumbuka TULIPOANGUKIA!
Mapepo ya ufisadi yanapoondoka humuacha mhanga akiwa taabani! Tuwe na subira dawa iingie!
.........Lakini na nyie wauguzi hebu ongezeni drip ya lishe na dawa ya kukata maumivu kidogo! 😀😀😀😀😀😀😀😀!
 
Acheni utani this is very very serious nchi inaangamia uchumi unakufa mambo yanazidi kuwa magumu biashara zinafungwa..hali ni mbaya na ni mbaya kweli! Watu wanafilisika! Na wengi wamepata mashinikizo ya moyo na kupooza
Kimsingi nchi inaingia kwenye janga kubwa na la kihistoria
 
Acheni utani this is very very serious nchi inaangamia uchumi unakufa mambo yanazidi kuwa magumu biashara zinafungwa..hali ni mbaya na ni mbaya kweli! Watu wanafilisika! Na wengi wamepata mashinikizo ya moyo na kupooza
Kimsingi nchi inaingia kwenye janga kubwa na la kihistoria
Taratibu mkuu, punguza hasira mkuu!
 
Nilijua ni huku tu, na huku hivo hivo? Maji ya pua haya....
 
Acheni utani this is very very serious nchi inaangamia uchumi unakufa mambo yanazidi kuwa magumu biashara zinafungwa..hali ni mbaya na ni mbaya kweli! Watu wanafilisika! Na wengi wamepata mashinikizo ya moyo na kupooza
Kimsingi nchi inaingia kwenye janga kubwa na la kihistoria
Thibitisha kua hali ni mbaya na ni mbaya kwa kweli.
 
Acheni utani this is very very serious nchi inaangamia uchumi unakufa mambo yanazidi kuwa magumu biashara zinafungwa..hali ni mbaya na ni mbaya kweli! Watu wanafilisika! Na wengi wamepata mashinikizo ya moyo na kupooza
Kimsingi nchi inaingia kwenye janga kubwa na la kihistoria
Sasa unamlalamikia nani?? Kama watu hawakujipanga na mabadiliko lazima watasombwa..

Huwezi kuishi kwa kutegemea siku zitafanana..

Hii ndio Tanzania tuliyokuwa tunaitaka.. Nchi yenye watu wenye nidhamu.
 
Back
Top Bottom