Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice?

Wabongo bana mnakuwa weledi na bidii wa vitu vidogovidogo na vya kijingajinga. Tungekuwa na bidii kama hii ya kutaka kuishi maisha mazuri na uchumi kwa kila mbongo
Fanyeni kazi aiseee
unaehuka karibuni. Ninafanya kazi tangu saa 11 alfajiri na kulala saa 5 usiku. Lakini in between a glass of wine is a must. Usitukane watu eti mambo ya kijinga. Kupanga ni kuchagua, mradi usivunje sheria.
 
Bidhaa nyingi kutoka kenya zimeadkmika sana sababu serikali imeweka sheria mpya za mabadiliko ya kodi kwa hawa wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa nchini hivyo wengi wamekimbia
Dah imeingiza mkono mpaka kwenye starehe zetu...
 
Jamaa anabeba boksi huko Scandinavian...

Anatuona tuliobaki bongo wote wapuuzi tu.
 
ni kinywaji cha kike.Mimi natumia bapa
 
Mimi mwenyewe nashangaa kwanini haipatikani. Yani sometimes hata kwenye pubs kubwa na zamaana.

Watu tuisopenda vilevi vichungu. Smine off black ice
Na bei yake ilikuwa even less than Savanna. Sielewi ilikwama wapi
 
unaehuka karibuni. Ninafanya kazi tangu saa 11 alfajiri na kulala saa 5 usiku. Lakini in between a glass of wine is a must. Usitukane watu eti mambo ya kijinga. Kupanga ni kuchagua, mradi usivunje sheria.
Jamaa kashangaza sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…