Nini kimeikumba timu ya Simba baada ya mechi ya Dodoma Jiji kuahirishwa?

Nini kimeikumba timu ya Simba baada ya mechi ya Dodoma Jiji kuahirishwa?

SIKU NINAANDIKA HAPA, SIMBA INAPASWA KUFANYA SAJILI ZA MABORESHO ZISIZOPUNGUA TANO.

QUALITY, QUQLITY, QUALITY ,QUALITY QUALITY QUALITY YAO NI NDOGO SANA

TIMU BADO SANA KUFIKA WALAU NUSU WA ILE YA 2019.

WAACHANE NA.
1. Joshua Mutale.
2. Karabue Chamoe.
3 .Agustine Okejepha.
4. Dese Mukwala.
5. (Ngoma).
6 Manula.

MABORESHO YA SAJILI.
Beki wa kati NO 5.
Kiungo mkabaji No 6.
Kiungo mshambuliaji 10.
Mshambuliaji No 9.

Hadi leo sijapata majibu kwanini Fadru alisajili mchezaji mmoja tu Dirisha Dogo, ilinishangaza sana!!!!!!!!

Au ndio kuvizia ma Free Agent.

QUALITY QUALITY QUALITY ,QUALITY.
NIMEMALIZA
 
1. Simba inapoteza kwa sababu ya kuzidiwa quality.
Yanga ina" A" LIST Chama, Pakome, max,Azazi ki, SIMBA INA NANI??????
Hao wote niliowataja ni No 10 A list

2. Tajiri ni Bahali kununua wachezaji wa "A" List Mo ni Bahili kununua wachezaji Badala yake anasubiri Free Agent. SIDHANI KAMA KUNA MCHEZAJI KANUNULIWA ( kasajiliwa) PALE MWENYE MKATABA.
Mfano wachezaji wengi waliotakiwa simba wameenda singida, kimvizuidi aliyeyuka Fei nk

3. Unakuwaje na Wachezaji wa kigeni zaidi ya watano wanazidiwa na wazawa na unataka ubingwa.
Mutale, okejepha, chamue, mukwala nk Hii ni Aibu kubwa sana.

4. Tatizo la No 10 lilikuwa linaonekana Peupe Tangu mzunguko wa kwanza wakatuaminisha watasajili mwarabu, Feisal, kimvizuidi Badala yake Fadlu akaishia kumtaka mchezaji mmoja tu dirisha Dogo Mpanzu.

5. Ukiwa na wachezaji wakubwa huwezi kuamini sana ushirikina, kununua Marefa, Rushwa, hujuma unajimu nk.

PENGO LA SAIDO INONGA, BABAKAR, CHAMA , KANUTE BALEKE HADI LEO HAYAJAZIBWA.

QUALITY, QUALITY,QUALITY
 
Timu kuwa na mashabiki wasio na akili nalo ni Tatizo.
Wanapelekwa kama Mangombe.

Wanarukaruka kama ndama.
Mtu anaandika na kuongea upuuzi bila hata chembe ya Aibu.

Amebeba ujinga na haogopi kabisa.

QUALITY YA WACHEZAJI WA SIMBA NI NDOGO SANA FULL STOP
 
Nimekwambiaje, asiyejua maana haambiwi maana! Wanaohitaji kujua kilichoandikwa katika mada yangu watakipata na watakifanyia kazi kama wataona kuna la kufanyia kazi, wewe usiyejua maana unaweza kumute wala sio kesi.
Acha malalamiko Comrade. Yanga yupo kileleni.
 
Umestuka usingizini saa 9 usiku jambo la kwanza unalowaza ni Simba na Yanga
Hufikirii ufugaji wa Kuku wa kisasa Vs kuku wa Kienyeji.
 
Leo nimewaunga mkono ngara na Tate Mkuu jamani hebu tuache wachezaji wacheze..wachezaji sio maroboti...wana fatigue...wana ishu za kifamilia n.k
Kina Aziz k walidrop hapo kati alichekwa alidhihakiwa..huyo Dube ndo usiseme...kuna siku mbaya kazini..mkumbuke hao wachezaji wametutoa wapi...
Wana simba mm ikifika jumatano ya majivu sitadiskasi tena mambo ya mpira mpk kwaresma iishe..nisije tukana buree...😆😆😆
 
Leo nimewaunga mkono ngara na Tate Mkuu jamani hebu tuache wachezaji wacheze..wachezaji sio maroboti...wana fatigue...wana ishu za kifamilia n.k
Kina Aziz k walidrop hapo kati alichekwa alidhihakiwa..huyo Dube ndo usiseme...kuna siku mbaya kazini..mkumbuke hao wachezaji wametutoa wapi...
Wana simba mm ikifika jumatano ya majivu sitadiskasi tena mambo ya mpira mpk kwaresma iishe..nisije tukana buree...😆😆😆
Nilichofanya ni kutoa tathmini yangu. Hao vyura ndiyo wanalazimisha ionekane ni malalamiko ila niamini mimi, wahusika wananisoma na kuchukua hatua. Hilo ndiyo muhimu kwangu.

Usipotee bwana. Ndani ya hizi wiki tatu zijazo tunaenda kumjua bingwa.

Simba inabidi wachunguze na wakifanyie kazi chochote kilichotokea kuanzia game ya Fountain Gate, kuahirishwa mechi ya Dodoma Jiji, mechi ya Namungo hadi mechi ya Azam. Kuna jambo hapo kati.....
 
Nilichofanya ni kutoa tathmini yangu. Hao vyura ndiyo wanalazimisha ionekane ni malalamiko ila niamini mimi, wahusika wananisoma na kuchukua hatua. Hilo ndiyo muhimu kwangu.

Usipotee bwana. Ndani ya hizi wiki tatu zijazo tunaenda kumjua bingwa.

Simba inabidi wachunguze na wakifanyie kazi chochote kilichotokea kuanzia game ya Kengold, kuahirishwa mechi ya Dodoma Jiji, mechi ya Namungo hadi mechi ya Azam. Kuna jambo hapo kati.....
Pamoja sana familia...sitapotea JF ila nitapotea sports..si unajua kwaresma sisi tunajinyima kile unachokipenda sanaaa...so nitaacha mpk pasaka ifike...
 
Huu uzi nautoa kama tahadhari ili kama kuna sehemu ya kusafisha ifanyike haraka. Sitaenda kumnyooshea mtu kidole wala kumlaumu mtu bali ninachotegemea ni wahusika kuangalia mambo kwa jicho la tatu.

Baada ya gemu ya Dodoma Jiji kuahirishwa, Simba ililazimika kukaa siku kadhaa zaidi ya timu nyingine bila kucheza na hili gepu likaiwezesha Yanga kurudi kileleni na kukaa mpaka sasa. Game ya Simba iliyofuata ilikuwa ni dhidi ya Namungo.

Ukiweza kaangalie tena ile game na performance ya mchezaji mmoja mmoja, sijawahi kuona wachezaji wa Simba wote kwa pamoja, mmoja mmoja, wakiwa na game mbaya msimu huu kama game ile. Watu wanalaumu kiwango cha Ngoma kwa game ya jana dhidi ya Azam ila kwenye game ya Namungo alikuwa hovyo kupita maelezo. Asilimia kubwa ya mipira yake ilipotea katika ile game. Hiki hapa chini ndiyo nilichosema wakati game ya Namungo inaendelea.


Kwenye game ya Azam ndiyo kabisa, niliona muendelezo wa poor performance ya Ngoma kama ilivyokuwa dhidi ya Namungo na pasi yake mbovu ndiyo ilizaa goli la kwanza la Azam.

Kiujumla, performance ya mchezaji mmoja mmoja kwenye mechi na Azam ilikuwa bora kidogo zaidi ya ilivyokuwa mechi na Namungo, ukiacha labda Ngoma na Kibu ambaye touch zake hazikuwa nzuri, ila kilichokuwa hovyo kupita maelezo ni uchezaji wa timu nzima kwa pamoja.

Yaani beki ilikuwa inakatika kupita maelezo, watu hawarudi nyuma kukaba, pumzi ilikata, eneo la kati na pembeni lilikuwa na mapengo, ungeweza kudhani Simba ilikuwa inacheza na wachezaji 8 uwanjani. Fadlu naye akajisahau "kumaliza mchezo" baada ya kupata goli la pili. Msimu huu hii ni mara ya kwanza hafanyi sub wakati ndiyo mechi ya kwanza ya Simba msimu mzima ambayo timu ilionekana kukata moto. Hii inafikirisha sana.

Swali langu, nini kimeitokea timu ya Simba baada ya kuahirishwa ile mechi dhidi ya Dodoma Jiji? Mbona kama kuna kitu kimedrop ghafla.
GSM kampa bahasha Fadlu
 
Kuwa mwanamichezo mkuu
Ligi ni marathon
Huwezi kuwa Bora msimu mzima
Kuna game au kipindi timu itaamka vibaya
Yanga alianza msimu vibaya
Ilikuwa ngumu kujitafuta wakati ligi inaendelea
Simba vs Azam, Simba walifanya vyema lakini kumbuka Azam na Simba Zina uzani sawa
Msimu Jana Azam alikuwa wa pili na Simba akawa 3 ndo tiketi ya kwenda huko shirikisho UMISETA
Utopolo tunamiliki medali ya kufungwa fainali ya UMISETA
 
Tunakuachia zuzu utambe...
Baada ya kuaga kuwa unaacha ushabiki na kurudi ghafla...ndo ujue uzuzu ulivyo mbaya..
🤣 🤣 🤣
Kimbunga cha March 8
Utalilia chooni au kwaresma itakuwa bado
 
Mleta mada hakuna chochote kilichoikumba Simba. Matatizo ya Simba kuridhika na matokeo mapema, kudharau baadhi ya mechi na kuanza kushangilia ubingwa wakati ligi bado kabisa. Na ligi ya mwaka huu ubingwa huenda akajulikana mpaka mwishoni mwa ligi.
 
Back
Top Bottom