MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nikikuta kuna Chumba kimeandikwa Raja Casablanca siingii ng'o kwani nitazikumbuka Tatu Kavu za Mwarabu za Juzi kwa Mkapa huku nikimwendea Kinyumenyume.Mi nilienda wilaya moja hivi nikakuta wamevipa majina ya Timu za Bongo, nikachagua inayopiga mpira mwingi::: Aisee yule dada alipelekewa moto kama mbio za mchezaji mmoja wa "klabu" hiyo π π π
Mfano Mwanaume mshabiki wa Simba SC akisikia Mkewe yuko na Mwamba ( Hawara ) Chumba kiitwacho Raja Casablanca na akiyakumbuka matokeo mabaya ya Juzi unadhani atathubutu kwenda Kufumania / Kumfumaia?Nafikiri labda ni kuficha siri, badala ya kupayuka na kusema njoo chumba namba 10 , watu watashtukia
Ila ukisema wewe ukifika uliza Tembo watakuelewa
Yaani kama fumbo vile
Ni mawazo yangu tu ingawa sijawahi kuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKuna mahali nilikuta vyumba vina majina ya George, Jackson, John, Eliza etc....
Hata mie pia nakumbuka nililala CANADA. ilikua likizo nlikua natoka shule.Singida nakumbuka nilikuta majina ya nchi za nje Uk, Italy ,France , Japan
Ila ilikuwa ni lodge halafu zile fungua Zina mama kikamba cha ramani ya africa
Mfano Mwanaume mshabiki wa Simba SC akisikia Mkewe yuko na Mwamba ( Hawara ) Chumba kiitwacho Raja Casablanca na akiyakumbuka matokeo mabaya ya Juzi unadhani atathubutu kwenda Kufumania / Kumfumaia?
unapendelea kunyandulia chumba chenye mnyama yupi ili upate mzuka zaidi?Nikikuta chumba kimeandikwa Jina la Mnyama Kifaru au Nyati au Chui au Mkoa wa Kagera au Kigoma au Singida au Dodoma huwa nafurahi na nakuwa na Mzuka na hata (aliyeingia katika Mfumo wangu) nikimaanisha huyo anayekwenda Kuwajibika nami Kibaiolojia humo cha Moto hukiona na pengine hata kujuta kwanini alitoa Ushirkiano kwangu Siku hiyo.
Kiitwacho Raja Casablanca kama kipo.unapendelea kunyandulia chumba chenye mnyama yupi ili upate mzuka zaidi?
Nikikuta kuna Chumba kimeandikwa Raja Casablanca siingii ng'o kwani nitazikumbuka Tatu Kavu za Mwarabu za Juzi kwa Mkapa huku nikimwendea Kinyumenyume.