ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
USha wahi kufuatilia wale viongozi wa Oparayion Dudula? mambo kama haya ndio aanayo pigania kwa sasa,Sisi tuendelee kuwachekea, hii ni kwa sababu ya rushwa, na Dudula wameamua wao wenyewe kudili na wahamiaji wanao kuja kufanya kazi na biashara ambazo ni kwa ajili ya wageni.Wachina nchi hii ingebidi wanyimwe Vibali vya kufanya boashara ya leja leja wafanye Kwa jumla tu.La sivo itakuwa hatari kw wazawa wenye mitaji midogo.
Wewe nini kimekuzuia kujua biashara? Unawaza kwa kutumia nyuma yako?Wachina wanajua Biashara kuliko hawa kenge wengine TAMAA nyingi uaminifu hakuna
Nini faida ya matusi, kejeli na dharau kwa mtu ambaye hajakukosea kitu?Wewe nini kimekuzuia kujua biashara? Unawaza kwa kutumia nyuma yako?
Uoga huo sasaWachina nchi hii ingebidi wanyimwe Vibali vya kufanya boashara ya leja leja wafanye Kwa jumla tu.La sivo itakuwa hatari kw wazawa wenye mitaji midogo.