Nini Kimekukera Leo?

Nini Kimekukera Leo?

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,303
Reaction score
23,064
Tema nyongo hapa hasira zipoe, moyo utuliee.

Mimi nimemtumia nauli mchepuko wangu mpya. Yani ndo tulipanga leo tuvunje amri ya sita kwa mara ya kwanza, lkn nashangaa baada ya kutuma hiyo pesa, kaniambia kapata udhuru anaenda Muhimbili eti dada yake anataka kuongezewa damu

Hapa nimefura kweli, nimewapigia tigopesa. wakasema ela ishatolewaa.

Nimeona ni share na nyie kidogo nitatulia
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
Leo asubuhi nimeokota hela ambazo sijazitolea hata jasho[emoji30]
 
Tema nyongo hapa hasira zipoe, moyo utuliee.

Mimi nimemtumia nauli mchepuko wangu mpya. Yani ndo tulipanga leo tuvunje amri ya sita kwa mara ya kwanza, lkn nashangaa baada ya kutuma hiyo pesa, kaniambia kapata udhuru anaenda Muhimbili eti dada yake anataka kuongezewa damu

Hapa nimefura kweli, nimewapigia tigopesa. wakasema ela ishatolewaa.

Nimeona ni share na nyie kidogo nitatulia
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
Dah hakuna zaidi ya hii pole sana
 
Back
Top Bottom