Nini kimekumbuka Hoffeinhem vs Buyern Munich?

Nini kimekumbuka Hoffeinhem vs Buyern Munich?

mikedean

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2018
Posts
3,267
Reaction score
4,634
Baada ya kuwa wamepigwa bao 6-0 dhidi Buyern mashabiki wa Hoffeinem eti wanaonekana kufanya mgomo kwa bosi wa timu kwa sababu ndiye anayeikwamisha. Kumbuka Hofeinem ni moja ya timu bora kabisa Bundesliga hasa misimu miwili iliyopita.

Mechi hii imekatishwa dakika ya 75 na Buyern wamepewa point 3. Anayejua mkasa huu afunguke hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi iliendelea Tena baada ya kusimama kwa dakika 20 hivi Na waliporudi uwanjani timu zote kwa dakika 13 zilizokuwa zimebaki wachezaji walikuwa wanapasiana tu mpira huku makipa wakiwa hawapo langoni..hii ni kwa mujibu wa BBC, timu zote zilikuwa zinawataka mashabiki waliobeba mabango dhidi ya kiongozi wa Hoffe waache kufanya hivyo.
 
Mechi iliendelea Tena baada ya kusimama kwa dakika 20 hivi...na waliporudi uwanjani timu zote kwa dakika 13 zilizokuwa zimebaki wachezaji walikuwa wanapasiana tu mpira huku makipa wakiwa hawapo langoni..hii ni kwa mujibu wa bbc.,.timu zote zilikuwa zinawataka mashabiki waliobeba mabango dhidi ya kiongozi wa Hoffe...waache kufanya hivyo..
Kama hivi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau iko hivi:

Wakati mchezo WA 29/2/2020 ukiendelea dakika ya 77 mashabiki wa Bayern Munich walianza mabango yao na wakimzomea boss wa Hoffeneihm Dietmar Hopp kuwa ni Son of Bitch.
Kocha wa Bayern pamoja na wachezaji wa Bayern waliwaomba mashabiki waache hiyo kitu lakini bado waliendelea, Referee pia aliwaonya lakini bado.

Ndipo wachezaji wa Bayern na Hoffeneihm walikubaliana kutoka nje ya uwanja na Refa akawaruhusu fairly kabisa.

Lakini wakiwa nje ya pitch ndipo kwa pamoja walikubaliana hakuna timu kufunga goli dakika 15 zilizosalia ila tu wapigiane pass kama heshima kwa tajiri wa Hoffeneihm.

A great gesture!!! Wachezaji walifanya vile kama kuonyesha tu mpira ni fair play kivipi boss Dietmar Hopp ni son of Bitch?
 
Wadau iko hivi:

Wakati mchezo WA 29/2/2020 ukiendelea dakika ya 77 mashabiki wa Bayern Munich walianza mabango yao na wakimzomea boss wa Hoffeneihm Dietmar Hopp kuwa ni Son of Bitch.
Kocha wa Bayern pamoja na wachezaji wa Bayern waliwaomba mashabiki waache hiyo kitu lakini bado waliendelea, Referee pia aliwaonya lakini bado.

Ndipo wachezaji wa Bayern na Hoffeneihm walikubaliana kutoka nje ya uwanja na Refa akawaruhusu fairly kabisa.

Lakini wakiwa nje ya pitch ndipo kwa pamoja walikubaliana hakuna timu kufunga goli dakika 15 zilizosalia ila tu wapigiane pass kama heshima kwa tajiri wa Hoffeneihm.

A great gesture!!! Wachezaji walifanya vile kama kuonyesha tu mpira ni fair play...kivipi boss Dietmar Hopp ni son of Bitch?
Mimi nilijua waliokuwa wamebeba mabango ni mashabiki wa Hoffeinhem kwa kweli walichokifanya mashabiki sio halali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mimi nilishatukanwa sana hiyo Son-of-what sijui lakini hao Bayern na Hoffeinheim hawajawahi kunitetea? Huyo boss avumilie kama mimi tu.
 
Wadau iko hivi:

Wakati mchezo WA 29/2/2020 ukiendelea dakika ya 77 mashabiki wa Bayern Munich walianza mabango yao na wakimzomea boss wa Hoffeneihm Dietmar Hopp kuwa ni Son of Bitch.
Kocha wa Bayern pamoja na wachezaji wa Bayern waliwaomba mashabiki waache hiyo kitu lakini bado waliendelea, Referee pia aliwaonya lakini bado.

Ndipo wachezaji wa Bayern na Hoffeneihm walikubaliana kutoka nje ya uwanja na Refa akawaruhusu fairly kabisa.

Lakini wakiwa nje ya pitch ndipo kwa pamoja walikubaliana hakuna timu kufunga goli dakika 15 zilizosalia ila tu wapigiane pass kama heshima kwa tajiri wa Hoffeneihm.

A great gesture!!! Wachezaji walifanya vile kama kuonyesha tu mpira ni fair play...kivipi boss Dietmar Hopp ni son of Bitch?
Kwa kuongezea tuu.

Hata kwenye Mechi ya Dortmund vs Freiburg.
Mashabiki walifanya hivyohivyo.

Hao mashabiki wa soka wanadai, huyo mmiliki amevuruga utamaduni wa soka la ujerumani. Kwa kuwekeza Hoffeneihm kupita kiasi.

Unajua ujerumani kuna sheria ngumu, zinazowabana matajiri kumiliki au kuwekeza kwenye timu yoyote. Japokuwa kuna exception ambayo huyo tajiri wa Hoffen kaitumia.

Beggars can't be choosers
 
Kwa kuongezea tuu.

Hata kwenye Mechi ya Dortmund vs Freiburg.
Mashabiki walifanya hivyohivyo.

Hao mashabiki wa soka wanadai, huyo mmiliki amevuruga utamaduni wa soka la ujerumani. Kwa kuwekeza Hoffeneihm kupita kiasi.

Unajua ujerumani kuna sheria ngumu, zinazowabana matajiri kumiliki au kuwekeza kwenye timu yoyote. Japokuwa kuna exception ambayo huyo tajiri wa Hoffen kaitumia.

Beggars can't be choosers
Inaitwa 50+1 ndo kapenyamo umo na ukiacha hyo timu zipo timu mbili tu ambazo zinamilikiwa dizaini hyo lkn hzo timu zinamilikiwa na vyama vya wafanyakazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo facanua mkuu amewekeza kweli Hoffeneim kwa sana.Sasa kwa nini wanamtukana tena mashabiki wa timu pinzani?
Maana wenye timu yao wametulia
Kwa kuongezea tuu.

Hata kwenye Mechi ya Dortmund vs Freiburg.
Mashabiki walifanya hivyohivyo.

Hao mashabiki wa soka wanadai, huyo mmiliki amevuruga utamaduni wa soka la ujerumani. Kwa kuwekeza Hoffeneihm kupita kiasi.

Unajua ujerumani kuna sheria ngumu, zinazowabana matajiri kumiliki au kuwekeza kwenye timu yoyote. Japokuwa kuna exception ambayo huyo tajiri wa Hoffen kaitumia.

Beggars can't be choosers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom