Ni mdini balaaZitto ni mmoja wa wamiliki wa hili gazeti. What do you expect?
Naunga mkono hojaHivi `Jenerali ana udini kweli ?
maake siamini kama Ulimwengu ni mnazi wa huo uislam-...mtu mwenye akili nyingi na tafakuri za kina kama Jenerali hawezi zombwa na ujinga wa dini za mapokeo hizi.
tuwatendendee haki watu mkuuNaunga mkono hoja
P
Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Watanzania tuna tatizo la mirengo, na negativity, ukiishakuwa na mrengo negative kuhusu jambo fulani, na ukaamini, hata ukiambiwa ukweli halisi hutaamini!.Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Jenerali anaunga mkono. Kuna faida kwa anakotokea. Alikorudishwa na MkapaHili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?
Objectivity !!!Watanzania tuna tatizo la mirengo, na negativity, ukiishakuwa na mrengo negative kuhusu jambo fulani, na ukaamini, hata ukiambiwa ukweli halisi hutaamini!.
Mfano mzuri ni hizi kelele za DPW na Bandari zetu, mkataba au makubaliano ni mabaya lakini DPW ya Mwarabu wa Dubai ni nzuri na itatusaidia sana.
Sasa mtu uliyeaminishwa Mwarabu wa Dubai na DPW ni wabaya, akitokea mtu kukueleza ukweli kuwa ni wazuri, wewe lazima utamshangaa!.
P
Uzuri wa DPW unatokana na nini? kuna kesi chungu nzima duniani zinazowahusu hawa DP. Judgement ya kwamba wao ni wazuri inatoka wapi 1. mkataba wao Mmbovu waliotusainisha pamoja na hizo kesi na mataifa mengine ilikuwa ni kengele tosha ya kutuamsha WaTZ kuwa hawa watu hawatufai. ndiyo maana mimi napata wasiwasi kuwa kung'ang'aniwa huu mkataba na viongozi wetu wa serikali nadhani kuna ajenda nyingine nyuma ya pazia. isije kuwa hawa wazenji wanatuprovoke ili tuvunje muungano kwa nguvu halafu watanganyika naona hatuelewi. Maana kwenye jambo hili unaona hata wabobezi ambao tulitegemea kupata analysis iliyoshiba kuhusu mapungufu ya mkataba na kamuni yenyewe lakini utakuta wanaongea vitu petty kwenye jambo serious kama hili. Basi kama Rushwa sijui hawa jamaa watoa magunia mangapi.Watanzania tuna tatizo la mirengo, na negativity, ukiishakuwa na mrengo negative kuhusu jambo fulani, na ukaamini, hata ukiambiwa ukweli halisi hutaamini!.
Mfano mzuri ni hizi kelele za DPW na Bandari zetu, mkataba au makubaliano ni mabaya lakini DPW ya Mwarabu wa Dubai ni nzuri na itatusaidia sana.
Sasa mtu uliyeaminishwa Mwarabu wa Dubai na DPW ni wabaya, akitokea mtu kukueleza ukweli kuwa ni wazuri, wewe lazima utamshangaa!.
P
Wewe ni mwandishi na mwanasheria kinyonga. Wasomi wenzio wameonyesha dukuduku zao kwenye baadhi ya vipengele, badala ya kujibu hoja zao mnaelezea uzuri wa mauzo hayo?Watanzania tuna tatizo la mirengo, na negativity, ukiishakuwa na mrengo negative kuhusu jambo fulani, na ukaamini, hata ukiambiwa ukweli halisi hutaamini!.
Mfano mzuri ni hizi kelele za DPW na Bandari zetu, mkataba au makubaliano ni mabaya lakini DPW ya Mwarabu wa Dubai ni nzuri na itatusaidia sana.
Sasa mtu uliyeaminishwa Mwarabu wa Dubai na DPW ni wabaya, akitokea mtu kukueleza ukweli kuwa ni wazuri, wewe lazima utamshang
Shida mnataka kila mtu afikiri mnavyofikiri nyie.Hili ni gazeti lililojizolea sifa kwa uandishi makini na wa kina. Tangu suala la kuuzwa kwa bandari zetu lianze, limejiunga na kundi la vijarida vya hivyo kama Wamachinga, Jamvi la habari, uhuru, habari leo nk.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya Udini wa Ulimwengu au mgao wa mwarabu umewafikia wahariri?